-
Ijue Siri Ya Babiloni Kuwa Mji Tajiri Kuliko Yote Duniani
Babiloni ulikuwa mji katika sehemu ya Mesopotamia. Mji huu ulikuwa sehemu ambayo ni kame na hivyo haukuwa na mvua za kutosha ili kuweza kuendesha shughuli yoyote ya kilimo. Chanzo pekee cha maji kilikuwa ni mto Euphrates. Watu wa Babiloni waliweza kuchimba mifereji kuingia mjini mwao na hivyo kuendesha shughuli zao za kuwaingizia kipato. Jambo kubwa…
-
Mbinu Muhimu Ya Kujenga Mafanikio Katika Biashara
Wajasiriamali wana mchango katika maendeleo ya uchumi wa nchi yetu. Wajasiriamali ni chimbuko la vipato ambavyo husaidia kujenga uchumi wa watu kupitia biashara zao. Wajasiriamali wanatoa ajira kwa vijana wengi na hivyo kuwasaidia kupata kipato chao na kupata kitu cha kuweka mkono kinywani. Kuna mbinu mbalimbali ambazo wajasiliamali wanaweza kuzitumia ili kujenga mafanikio katika biashara…
-
Sheria Muhimu Katika Kutengeneza Pesa Na Kuwa Tajiri
Watu wengi wamekuwa na ndoto kubwa sana ya kuwa matajiri.Lakini hawajapata kujua jambo muhimu katika kutengeneza pesa na hivyo kufikia ndoto yao ya kuwa tajiri. Jambo muhimu unalohitaji kulifahamu katika kutengeneza pesa ni kufahamu tofauti kati ya RASLIMALI (asset) na DHIMA (liability). Swali Rasilimali ni nini? Rasilimali ni kitu kinachoingiza pesa kwenye mfuko wako Swali…