Author: Godius Rweyongeza

  • TATIZO SI RASILIMALI ZILIZOPOTEA-154 Tatizo hujau kwamba kila kitu kina msimu wake

    Kila kitu kina wakati wake, wakati wa kupanda na wakati wa kuvuna, wakati wa kulia na wakacti wa kucheka…. Hakuna kitu ambacho huwa kinatokea tu! Balli  ni majira ya kitu husika tu huwa yanapita Unapokutana na nyakati ngumu sio kwamba ule ndio unauwa mwisho wa safari wala  hicho sio chanzo cha wewe kulia bali ni…

  • Huu Ni Muda Mzuri Unaoweza Kukubali Majukumu

    Habari ya siku hii ya leo rafiki na ndugu msomaji wa makala haya kutoka songa mbele blog. Imani yangu kwamba leo umekuwa na siku njema sana. Hongera sana kwa siku hii rafiki yangu. Maana hii ni siku ambayo haitakuja kujtokeza katika maisha yako yote. hakikisha kwamba unaitumia vyema kabisa maana siku kama hii hapa haitakukja…

  • Hii Ni Hazina Kubwa Kuwahi Kutokea Katika Dunia Hii

                HII NDIO HAZINA KUBWA SANA KUWAHI KUTOKA KATIKA DUNIA HII Habari ya siku hii ya leo rafiki na ndugu msomaji wa makala haya murua kabisa kutoka katika blogu yako ya SONGA MBELE. Imani yangu kwamba leo umekuwa na siku njema sana na unaenda kufanya makubwa sana siku hii ya leo. Ni jambo jema sana…

  • TATIZO SI RASILIMALI ZILIZOPOTEA Tatizo hujaweka ukomo

    Ili kitu kiweze kufanyika vizuri na kwa ufasaha wa hali ya juu sana unahitaji kuhakikisha kwamba umewekiwekea ukomo hasa katika kukitenda na kukikamilisha. Usipokuwa na ukomo  katika kutenda utajikuta kwamba utakuwa unafanya hiki na kufanya kile. Utajikuta kwamba unaanza kufanya kitu fulani ila bado hukimalizi kwa sababu hakina ukomo, Kwani ukomo ni wa nini kwenye…

  • TATIZO SI RASILIMALI ZILIZOPOTEA-153 Tatizo hujajua umuhimu wa mitandao ya kijamii

    Watu wengi sana kwa sasa wameingia katika wimbi la kulalamika kila wakati kwamba mitandao ya kijamii sio mitandao mizuri , badala yake imeharibu jamii. Wanaosema hivyo wanasisitiza kwamba mitandao hii imeleta upotovu mwingi sana kwa vijana kuliko ambavyo dunia imewahi kushuhudia kwenye zama za nyuma.. hata hivyo watu ambao wanasema hivyo wanasahau kwamba mitandao hii…

  • Ufahamu Muda Wa Kuanza Jambo Lolote Maishani

    Watu wengi sana huwa wanauliza ni muda gani wanaweza kuanza. Wengine huwa wanasubirisha kuanza biashara, wakati wengine wakiwa wanazikosa fursa na kwa sababu tu ya kusubuiri, kiukweli siku hii ya leo nina habari njema sana kwako rafiki yangu juu ya muda mzuri sana ambao wewe unaweza kuanza kitu. Na muda huu sio mwingine bali  ni…

  • Ni Kweli Mbwa Mzee Hafundishwi Mbinu Mpya?

    Kuna usemi wa kiingereza unaosema kwamba huwezi kumfundisha mbwa mzee mbinu mpya.  Watu wanaokubaliana na usemi huu wanaamini kwamba huwezi kujifunza mbinu mpya ukifikisha umri fulani. Watu hawa wanaamini kwamba huwezi kupiga hatua hasa ukishafikia hatua ya uzee katika maisha. Jambo kama hili hapa sio kweli. Ukweli ni kwamba wewe sio mbwa. Inawezekana ikawa ni…

  • Hiki Ni Kitu Unchoweza Kufanya Kuyaabisha Makaburi

    Kwa siku nyingi sana makaburi ya dunia hii yamekuwa yananufaika sana. makaburi haya yamekuwa yakituibia watu wa aina mbali mbali. yaani yametuibia walimu wazuri ambao hawakuwahi kuwa walimu. Yametuibia wafanyabiashara wazuri ambao hawakuwahi kuwa wafanya biashara, yametuibia maraisi wazuri ambao hawakuwahi kuthubutu hata kuongoza hata kikundi cha watu wawili. Hii ndio kusema kwamba makaburi yameiibia…

  • Mwanafunzi Ni Zaidi Ya Mwalimu Wake …

    Waswahili wana usemi ambao wanasema kwamba mwanafunzi hawezi si zaidi ya mwalimu wake. Ila katika hali ya kawaida kitu ambacho si, kinaweza pia kuwa ni…. Hivyo mwanafunzi anaweza kuwa ni zaidi ya mwalimu wake. Isipokuwa ni kwamba mwanafunzi akishakuwa ni zaidi ya,, asimsahau yule aliyemwezesha kuweza kufika hapo alipofika. Naye ni mwalimu. Kama mwanafunzi hapaswi…

  • VITU VITANO (05) VYENYE THAMANI ZAIDI HAPA DUNIANI

    Je, ushawahi kujiuliza ni vitu gani vyenye thamani kuliko vitu vingine hapa duniani? Je, vitu hivyo ni vipi? Sijawahi kumuuliza rafiki au ndugu yangu swali kama hili hapa, ila nina uhakika nikiwauliza watu walio wengi majibu ambayo watanipa yatakuwa ni majibu ya vitu kama magari, ndege, nyumba za kifahari na vitu vingine vya aina  hiyo.…

  • TATIZO SI RASILIMALI ZILIZOPOTEA-137 Tatizo hutaki kujidogosha

    Kuna mwendeshaji mmoja wa baiskeli aliyekuwa anapita mahali na baiskeli yake. Alipofika eneo husika aliona kwamba kulikuwa kuna wanajeshi ambao walikuwa wanajaribu kuondoa kisiki bila mafanikio. Nyuma ya wale wanajeshi alikuwepo mtu mmoja aliyakuwa amesimama tu! Yule mwendesha baiskeli alimwulilza, inakuwaje rafiki yangu, mbona wewe huwasaidii watu hawa wakati unaona kwamba wanahangaika kuondoa kisiki”. Yule…

  • TATIZO SI RASILIMALI ZILIZOPOTEA-136 Tatizo hujajua umuhimu wa soma kitabu

    Kitabu kimoja kina uwezo wa kubadlisha maisha ya mtu na kuyafanya kuwa ya tofati. Ila watu kidogo sana wanaweka juhudi kuhakikisha kwamba wanasoma na kuyatumia maarifa haya yaliyomo kwenye vitabu. Ukiongea na watu walio wengi utawasikia wakisema kwamba wao kusoma vitabu sio hobby yao. Wengine wanajisifia kwamba wao ni magwiji na hivyo hawahitaji kupata maarifa…

  • TATIZO SI RASILIMALI ZILIZOIPOTEA-133 tatizo ni ukosefu wa nidhamu

    Mafanikio yoyote mazuri yanahitaji kuweka kazi kubwa sana kabla ya kuyapata na kuhakikisha kwamba kazi unaifanya kweli. Tatizo la kwa nini watu wengi sana hawapati kile ambacho wanakitaka ni kwamba wanagusa kila kitu na ila hawana kitu ambacho wanafanya. Kuna watu kwa sababu tu za kizembe, hawataki hata kuambiwa ukweli. Na wanaogopa kusikia maneno ambayo…

  • WANAVYOKAMATA NGEDERE NCHINI INDIA (Jifunze Kutoka Kwa Viumbe Hawa)

    Habari ya siku hii ya leo rafiki na ndugu msomaji wa blogu yako pendwa ya songa mbele. Imani yangu kwamba leo ni siku njema sana kwako una unaenda kujifunza kitu kipya. Wahindi wamebuni njia rahisi sana ya kuwakamata ngedere nchini mwao. Wao wanachofanya ni kuhakikisa kwamba wanachukua mtego na kuweka chakula akipendacho ngedere ndani ya…

  • TATIZO SI RASILIMALI ZILIZOPOTEA-132 Tatizo hauna mzigo wa kubeba

    Mara nyingi sana ukimwangalia mtu, anaweza kuwa ni rafiki kaka au ndugu akiwa ambeba mzigo mkubwa sana huwa unamwonea huruma. Unaona kama anajitesa kwa sababu abafanya kazi kubwa sana. anajitesa kwa sababu anabeba mzigo mkubwa sana. ukweli katika maisha sio kwamba aliyebeba  mzigo ndiye anapasa kuonewa huruma. Ila yule ambaye hajabeba mzigo ndiye anapaswa kuonewa…

  • TATIZO SI RASILIMALI ZILIZOPOTEA-131 Tatizo hujaufahamu uwezo wako

    Tukiufahamu uwezo wetu tutakuwa kama ndege, tutaruka bila hofu. Tukiufahamu uwezo wetu tutakuwa kama mbegu, yaani tutaota bila kujizuia na kuzalisha msitu. Tukiufahamu uwezo wetu, tutaamua kufanya na tutafanya bila uoga. Kumbe ndio maana Eckharat Tolle anatuambia kwamba “hauwi mzuri kwa kujaribu kuwa mzuri, lakini kwa kutafuta uzuri ambao tayari umo ndani yako”. kumbe tayari…

  • TATIZO S RASILIMALI ZILIZOPOTEA -130 Tatizo hujataka kukjifunza kutoka kwa watu

    Watu wanaokuzunguka wewe hapo ni watu muhimu sana kuweza kwa kukusuma wewe kwenye mafankio. Watu hawa wanaweza kukusuma wewe hapo kwenye mafanikio kwa njia tofauti tofaut. Wapo wenye uwezo wa kukwambia kwamba kitu fulani ambacho unafanya wala hata hakiendani na kile ambacho unapaswa kuwa unakifanya. Watu hawa n muhimu sana kwako, watu hawa ni muhmu…

  • TATIZO SI RASILIMALI ZILIZOPOTEA Tatizo hujajua nguvu yako uliyonayo

    Kila mtu kazaliwa akiwa na nguvu kubwa sana ambayo Imo ndani yake. Kama nguvu hii itatumiwa vyema sana itaweza kumsaidia mtu kuweza kupiga hatua. Iko hivi kila kitu tunachofanya hapa duniani ni matokeo ya nguvu ambayo imo ndani yetu. kila wazo tunalotoa ni nguvu, kila mtu tunayeongea naye tunatumia nguvu. Ukiwaza hasi unatoa nguvu hasi,…

  • TATIZO SI RASILIMALI ZILIZOPOTEA-128 Tatizo hujajua umuhimu wa kusoma vitabu

    Ni katika vitabu pekee unaweza kuongea na watu maarufu, unaaweza kuongea na viongozi wakubwa, unaweza kuongea na wafanya biashara, unaweza kuongea na wajasiliamali, unaweza pia kuongea na wajasiliapesa….Aliandika mtu mmoja. Kama ambavyo tumeona kwenye kidokezo hicho hapo. Vitabu vinakufanya wewe uweze kuungana na kuongea na watu wengi sana. unaongea na watu walio ndani nchi pamoja…

  • UMUHIMU WA FAKIKA MOJA

    Ukitaka kujua umuhimu wa dakika moja, muulize mwanajeshi katika medani ya vita.  Kila dakika ambayo inakuja mbele yako kila wakati ni dakika  ya muhimu sana wala si ya kupoteza. Kila dakika hakikisha kwamba unaitumia kufanya mambo makubwa sana. usiipoteze hata  dakika moja katika kazi zako. Ipangilie vizuri kila dakika ambayo inakuja mbele yako ili uweze…

X