-
Huu Ndio Ukweli Ambao Watu Hawakuambii (Mlinganyo wa Maisha)
Hivi umewahi kuwa unaenda sehemu kumtembelea rafiki yako au ndugu ila bila kuwa na uhakika wa nyumba yake ilipo. Ukakaribia na sehemu ambayo ulikuwa unahisi kwamba hapa ndipo penyewe ila ukaja kushangaa kwamba mtu anayetokeza ni wa tofauti baada ya kugonga? Ukaamua kuuliza kwamba kwa John ni hapa? ukaambiwa ni nyumbe ileee, huku ukioneshwa kwa…
-
UCHAMBUZI WA KITABU; WEALTH OF NATIONS-8
utajiri Wa Mataifa Ukurasa 42-61 1. Mgawanyiko wa kazi unazuiwa na uchache wa soko. Kadri soko linavyokuwa dogo ndivyo watu hufikiria juu ya kufanya kitu kingine kwenye jamii ili kuongeza kipato, na hivyo kuanza kusababisha ushindani. Kwa sababu unakuta mtu anachoenda kufanya kimeshafanywa na mtu mwingine kabla, au anachoanza kufanya baadae kinaigwa na mwingine. 2. …
-
Unapaswa Kuwa Na kitu Hiki Hapa Ili Kupata Mafanikio Makubwa Sana
Hongera sana rafiki yangu kwa nafasi ya leo ambayo ni ya kipekee sana. Hakikisha unaitumia vyema ili uweze kusonga mbele na kupiga hatua kubwa. Kwa kawaida ili uweze kupiga hatua fulani na kufika sehemu kuna vitu unapaswa kuwa navyo.Ili uweze kusafiri kutoka eneo moja mpaka jingine unahitaji kuwa na tiketiIli upate chakula kwenye hoteli, basi…
-
UCHAMBUZI WA KITABU: WEALTH OF NATIONS -7 (Upatikanaji wa bei)
Utajiri Wa Mataifa Ukurasa wa 50-58 Upatikanaji wa bei Jana tuliona vitu viwili vinavyotumika kupanga bei ya kitu.Moja tulisema muda uliotumika kupata kile kitu.Lakini pia tukamalizia kwa kusema kwamba ujuzi wa mtu aliyehusika katika kupata kile kitu.Kama bado hujasoma makala ya jana, basi hakikisha unaisoma kwanza ili twende sawa. Sasa leo, tunaenda kuzungumzia uhitaji wa…
-
Maswali Matatu (03) Unayopaswa Kujiuliza Kabla Ya Kuanza Safari
Kati ya vitu ambavyo watu hawapendi ni maswali.Ukiwa darasani wanafunzi hawapendi kuuliza maswali lakini pia walimu hawapendi kuulizwa maswali na kinyume chake ni sahihi! Lakini maswali kwa kawaida ndio huja uvumbuzi, ubunifu na mambo mapya. Ona mtu kama Newton, baada ya kuona tunda linaanguka chini alijiuliza swali kwa nini lianguke chini badala ya kwenda juu.…
-
UCHAMBUZI WA KITABU: WEALTH OF NATIONS.-6 (hivi ndivyo bei zilikuwa zinapatikana)
Utajiri Wa Mataifa Ukurasa wa 50-53 Soma Zaidi; UCHAMBUZI WA KITABU CHA WEALTH OF NATIONS-5 (Mwanzo Wa Hisa) Kama mpaka sasa tupo wote, utagundua kwamba uchambuzi wa siku ya jana na leo umetoka kurasa za 50-53Lengo la mimi kurudia hapa ni kukazia pointi maana hapa nimeona kuna nondo nyingi zimewekwa sehemu moja. Mfano unaweza kuona…
-
UCHAMBUZI WA KITABU CHA WEALTH OF NATIONS-5 (Mwanzo Wa Hisa)
Utajiri wa mataifa Ukurasa wa 50-53 Mwanzo wa Hisa Kadri ninavyoendelea kusoma kitabu hiki hapa, ninaendelea kugundua jinsi ambavyo mataifa yaliweza kujitengenezea utajiri na kufika yalipo. Kuna vitu vingi sana vya kujifunza kwenye kitabu hiki hapa. Moja ya maswali ambayo nilikuwa najiuliza hivi hisa zilianzaje?Maana sasa hivi utasikia watu wanasema, nimenunua hisa za Vodacom. Au…
-
Kitu Kimoja Ambacho Utakipata Endapo Itasoma Kitabu Kimoja Kati Ya hivi Hapa
Habari ya leo rafiki yangu. Hongera kabisa kwa nafasi hii ya kipekee sana ya leo. Leo ni tarehe 23 oktoba 2018 mpaka sasa ninapoandika makala haya, zimebaki siku 69 mwaka huu kuisha. Kama mwaka huu uliweka malengo ya kufanya kitu, basi sasa umefika wakati wa kujiuliza umefikia wapi kwenye kuyatimiza malengo yako?? Sasa leo naomba…
-
UCHAMBUZI WA KITABU CHA WEALTH OF NATIONS-4 (Kupanda Na Kushuka Kwa Thamani Ya Pesa-2)
Utajiri wa Mataifa Ukurasa 47-50 Kupanda na kushuka kwa thamani ya pesa. Imani yangu kwamba unaendelea kufuatilia kwa umakini chambuzi hizi hapa, tangu tumeanza mpaka hapa tulipo. Bado tunazidi kusonga mbele mpaka kieleweke. Soma Zaidi: THE WEALTH OF NATIONS-3 (kupanda na kushuka kwa thamani ya pesa) “Kupanda na kushuka kwa thamani ya pesa hufuata kanuni…
-
UCHAMBUZI WA KITABU CHA WEALTH OF NATIONS:-3 Kupanda na kushuka kwa thamani ya pesa
Utajiri wa Mataifa Ukurasa wa 37-47 Kupanda na kushuka kwa thamani ya pesa Jana tuliona historia ya pesa ilivyoanza na tukaishia kuzungumzia kitu kinachojulikana kama thamani.Nilisema kwamba thamani ya kitu hutofautiana na leo tunaenda kuona vitu viwili vya awali vinavyofanya pesa iwe na thamani ya juu au chini. Soma Zaidi: UCHAMBUZI WA KITABU; WEALTH OF…
-
Maeneo Matatu Unayoweza Kuwekeza Kama Hauna Pesa/Mtaji
Moja kati ya vilio vya watu wengi linapokuja suala la kuazisha biashara, basi ni kilio cha MTAJI. Utasikia watu wanasema, ningependa kuanzisha biashara fulani ila mtaji.Ningependa kuwekeza sehemu fulani ila mtaji sina. Kitabu Hiki Kipo Kwa Ajili YakoTsh.5,000/- Kama wewe kilio chako kimekuwa hiki kwa siku sasa, naomba nikwambie kwamba kuna maeneo matatu ambayo unaweza…
-
UCHAMBUZI WA KITABU CHA WEALTH OF NATIONS-2
Ukurasa wa 27-37 Utajiri Wa Mataifa “Katika miaka ya zamani, tunakuta kwamba vitu vilipewa thamani kulingana na idadi ya ng’ombe, mfano silaha ya kujikinga wakati wa vita (armour) iliyokuwa inatoka maeneo ya Diomede, ilikuwa sawa na ng’ombe tisa. Wakati silaha hiyo hiyo kutoka maeneo ya Glaucus ilikuwa ni sawa na ng’ombe mia. Chumvi ilikuwa ni…
-
UCHAMBUZI WA KITABU: THE WEALTH OF NATIONS Utajiri Wa Mataifa
Ukurasa 17-27 Habari ya siku hii njema rafiki yangu. Kuna nyakati huwa zinakufanya unakuwa na maswali mengi sana na pengine hupati kabisa majibu ya maswali haya.Mimi ni miongoni mwa watu wenye maswali mengi sana ambayo huwa najiuliza ila kadri ninavyosoma vitabu ninapata majibu na kunufaika na majibu hayo.Mfano baada ya kukua na kuona jinsi watu…
-
IFAHAMU NGUVU YA KUTOA NA JINSI UNAVYOWEZA KUITUMIA KWA MANUFAA YAKO
Moja kati ya kitu ambacho kimezoeleka sana miongoni mwa watu ni kupokea. Kila iitwayo leo, mtu anapenda kupewa na kupewa na kupewa. Hivi kwa mfano sasa hivi ukikutana na mheshimiwa Raisi Magufuli, kitu gani kitakuja kwako kwanza?Je, utafikiri kwamba akupe mtaji wa kuanza biashara?Au utafikiri juu ya kukusaidia kupata ajira?Je, utapenda akupe gari zuri la…
-
YAH: ZAWADI YA SIKU YA WASICHANA DUNIANI
Jana tarehe 11 oktoba ilikuwa siku ya WASICHANA DUNIANI. Dunia nzima imekuwa mstari wa mbele siku ya jana kusherehekea sikukuu hii. Sikukuu hii ikianza kushrehekewa mwaka 2012. Na sasa inasherehekewa takribani dunia nzima.Siku hii inafamika kama INTERNATIONAL DAY OF GIRLS au siku ya kimataifa ya wasichana. Sasa kama sehemu ya kusheherekea siku hii. Zawadi ilitoloewa…
-
Kama Furaha Yako Inatokana na Kitu Hiki Hapa, Basi Jua Kwamba Sio Furaha Ya Kweli
Rafiki yangu, hongera sana. Leo ni siku njema sana kuwahi kutokea kwenye dunia hii.Ni siku ya kipekee sana kwetu kuchukua hatua kubwa sana.Ni siku ya kipekee kuongeza mtandao wa watu wanaotufahamu.Ni siku ya kipekee kwetu kutimiza malengo yetu.Ni siku ya kipekee kwetu kuimarisha akili zetu na kujenga akili zetu kwa namna ya upekee sana. Yaani…
-
Hii Ndiyo Sehemu Unayoweza Kukimbilia Pale unaposhindwa Kutimiza Malengo Yako
Rafiki yangu, hongera sana kwa siku hii ya kipekee sana. Leo ni tarehe 10 ya mwezi wa 10, 2018. Zikiwa zimebaki siku 82 tu, mwaka huu kuisha. Kama mwaka huu ulikuwa umeweka malengo makubwa sana sasa umefika wakati wa wewe kujiuliza ni wapi umeweza kufika katika suala zima la kutimiza malengo yako ya mwaka huu.…
-
Hii Ni Njia Rahisi Ya Kuhairisha Kitu Ulichopanga Kufanya
Naam, leo ni siku nyingine ambapo tunaenda kufanya mambo mengine,Makubwa kwa makuvwa zaidi pengine,Ili tuendelee kutengeneza kesho bora nyingineItakayopendeza sana zaidi ya leo. Hongera sana rafiki kwa siku hii bora. Kuna mtu kila siku utamkuta anasema, kesho nitafanya hiki.Ukikutana naye baada ya siku na kumuuliza, vipi tayari umeshafanya shughuli yako, utasikia anasema, yaani nilikwama kidogo…
-
Hatua Nne za Ukuaji Katika Uongozi
Kwa kawaida kila kitu huwa kina wakati wake. Kuna wakati wa kupanda wa kupanda na wakati wa kuvuna. Katika maeneo yote ya maisha, yaani afya ya mwili, afya ya akili, afya ya roho, pesa, mahusiano na jamii pamoja na mahusiano na familia.Huwezi kuwa kwenye kipindi kimoja kwa wakati mmoja.Huwezi kuwa kuwa unapanda, unapalilia na kuvuna…
-
Kama Una Tabia Hii, Jua Kwamba Unakosa Kitu Hiki
Kuna kitu huwa kinanishangaza, mtu anakuwa na pesa ila anasema ngoja niiweke weke tu kwenye nguo. Au vitabu vyangu.Siku nikikutana nayo na sina pesa pesa nitafurahi. Mtu anaweka pesa yake ovyo ovyo, eti siku akivaa nguo akakutana nayo bahati mbaya basi atafurahi.Au anasubiri siku akipigika ndio anaanza kufurumusha nguo zake aangalie kama kuna pesa. Je,…
