-
Ukisikia Fulani Ni Kiongozi, Basi Jua Anafanya Hivi
Hongera sana rafiki kwa siku hii njema sana ya leo.Leo ni jumamosi ya tarehe 06 oktoba 2018.Ni siku ya kipekee sana ambayo unapaswa kuitumia kuhakikisha unaweza kufikia ndoto zako. Kwa sasa hivi nafundisha sana masomo ya uongozi, na makala zangu nyingi zijazo mbali na kwamba nitaongelea vitu vingine lakini suala la uongozi nitaliongelea kwa undani…
-
Unapaswa Kuwa Na Uwezo Wa kutenganisha Kitu Hiki Na Biashara Yako
Rafiki yangu, hongera sana kwa nafasi nyingine ya kuishi. Leo hii ni siku ya kipekee sana.Swali la kwanza unalopaswa kujiuliza siku ya leo?Nimepewa uhai tena ili nifanye nini? Swali la pili je, nitafanya nini leo kitakachoongeza thamani kwa watu, ndani ya siku ya leo? Kumbuka kwamba kila siku ni siku yako wewe kukua na kuhakikisha…
-
TATIZO SI RASILIMALI ZILIZOPOTEA-011
“Kama mabadiliko pekee unayosheherekea kwenye maisha yako ni sherehe ya kuzaliwa, basi bado hujaanza kuishi” Rafiki, naomba nikuulize swali, hivi ni lini watu walikaa na kushangilia mafanikio na mabadiliko yaliyokuwa yametokea kwenye maisha yako? Je, ni siku ile ulipofanya sherehe ya kuzaliwa? “Kama mabadiliko pekee unayosheherekea kwenye maiaha yako ni sherehe ya kuzaliwa, basi bado…
-
Kitu Hiki Ndicho Kinapaswa Kukusukuma Kuwa Kiongozi
Kwanza kabisa napenda nikwambie kwamba wewe ni kiongozi. Haijalishi kwamba unafanya kazi ya kufagia, au wewe unadeki ofisi fulani. Wewe ni kiongozi. Ufahamu Ufalme Wa Mteja Na Jinsi Ya KumhudumiaMwananchi, septemba 27 2018 Haijalishi unafundisha wanafunzi wa awali tena chini ya uongozi wa mtu fulani. WEWE NI KIONGOZI Haijalishi wewe ni mjasiliamali, umeajiriwa, umejiajiri, umefukuzwa…
-
Nnavyoiona Miaka Mitano Ijayo Na Jinsi Utakavyoachwa Nyuma
Kwanza kabisa nashukuru sana uwepo wa elimu hii ambayo tunaendelea kuipata kutoka walimu na watu mbali mbali wanaojitoa kila siku kuhakikisha wanakupa wewe maarifa ya kukutosha. Kwa hakika inatia moyo. Maarifa yanayotolewa na yanayopatikana kwenye blogu ya SONGA MBELE, yana lengo la kukuelimisha wewe, kukuamusha na kukusaidia ili ufanye makubwa. Lakini kikubwa ni kwamba wewe…
-
Hivi Ndivyo Unapaswa Kuishi Maisha Yako
Sasa hivi tunaishi katika ulimwengu ambao ni rahisi sana kupeleka kifaa kwenye mwezi kuliko ilivyo rahisi kumtmbelea rafiki yako.Tupo kwenye ulimwengu ambao ni rahisi sana kuongea na watu wa mbali tukawasahau watu wetu wa karibu.Tupo kwenye ulimwengu ambao ni rahisi sana ku kuchati na kuzurura kwenye mitandao ila kujikuta tunasahau kazi zetu. Wakati haya yote…
-
HIVI NDIVYO UNAWEZA KUENDELEA KUNG’AA KILA SIKU KATIKA SEKTA YAKO
Ni kawaida ya binadamu kukua. Mtoto anapozaliwa huwa tunafurahia sana maendeleo yake. Kuanzia siku ya kwanza. Ile anapozaliwa tu, akilia kwetu huo tayari ni ukuaji na tunafurahia.Baada ya hapo akianza kutambaa, kwetu hiyo ni faraja na furaha tena. Sio hilo tu, anapoanza kutembea, bado tunafurahi sana maana nyakati nzuri kama hizi hapa zinakuwa zimejitokeza. kwa…
-
Mambo Saba Ya Kujifunza Kutoka Kwa Simoni Petro
Petro alivua samaki usiku kucha bila kupata hata samaki mmoja. Hakupata hata mmoja!!! Ilipofika asubuhi alikuwa amechoka sana, na amekata tamaa. Lakini Yesu alimwambia endesha mashua mpaka kilindini mkatupe nyavu zenu, mpate kubua samaki (Luka 5:4). Petro alipofanya hivyo alipata samaki wengi sana. Kiasi kwamba walijaza mashua yao na kuanza kuwapungia mkono wenzao ili waje…
-
NYUMA YA USHINDI
Leo hii jioni nikiwa nimetulia nimepokea ujumbe kutoka kwa mmoja wa wasomaji wa kitabu bora sana cha NYUMA YA USHINDI. Haya hapa yalikuwa maneno aliyosema, “Rafiki Yangu Nashukuru Sana Maana Nilikuwa Nshaanza Kupotea, ‘Kitabu Cha Nyma Ya Ushindi Kimenifunua Akili’ Huyu ni mmoja kati ya mamia ya watu waliofaidika na kitabu hiki. Rafiki huyu alijipatia…
-
Kitu Hiki Kitafanya kila Mtu Apende Kukusaidia
Najua kwamba kila mtu angependa watu maarufu, viongozi wakubwa, wanampira wenye majina, wanamziki na waigizaji nguri wawe marafiki zake. Kila mtu angependa awe nao na kupiga nao picha (selfie) muda wowote ambao yeye atajisikia. Najua wengi wangependa kukutana na DIAMOND PLATNUMZ ili kupiga naye stori. Najua wengine wangependa kukutana na raisi Magufuli. Hata kama hawataongea…
-
KUTOKA SIFURI MPAKA UBILIONEA (Mbinu Kumi Zitakazokuinua Mpaka Ubilionea)
Habari ya siku hii njema sana rafiki yangu. Hongera sana kwa siku hii.Karibu sana kwenye makala hii ya leo tujifunze ni kwa jinsi gani tunaweza kutoka sifuri mpaka ubilionea. Hivi umewahi kufikiri juu ya kuwa na maisha ambayo utakuwa huwazi juu ya pesa ya kula?Maisha ambayo hufikirii na kuumiza kichwa ni wapi utapata ada ya…
-
Usikose Kufanya Jambo Hili Kila Iitwayo Leo
Hongera sana rafiki yangu kwa siku hii ya leo. Leo hii ni siku bora sana kuwahi kutokea kwenye dunia hii. Rafiki yangu naomba uitumie vyema sana siku hii ya leo. Kitabu hiki kipo kwa ajili yakoTuwasiliane 0755848391 Kila iitwayo leo kuna kitu kimoja ambacho hata kama inakuwaje hupaswi kuacha kukifanya.Kitu hiki kitakufanya ukue kiakili, kiafya…
-
FaidaOja (01) Ya Kujifunza Ambayo Hujawahi Kuambiwa Popote
Rafiki yangu hongera sana kwa siku hii nyingine tena.Moja ya mambo ambayo unapaswa kuyafanya ukiwa hapa duniani, basi ni kuhakikisha unajifunza kila siku. Jambo hili nimeliongelea sana, naliongelea sasa hivi na nitazidi kuliongelea. Na nimekuwa nakushirikisha faida za kujifunza mara kwa mara ambazo utazipata kutokana na kujifunza kitu kipya. Leo hii naomba uijue faida hii…
-
JIFUNZE, JIFUNZE
Moja ya jambo ambalo unapaswa kulifanya kila siku maishani mwako basi ni kujifunza. Hakikisha kila kunapokucha unajifunza. Kila jioni unapaswa kujiuliza je, leo nimejifunza nini? Kama bado hujajifunza kitu hakikisha unachukua hatua kujifunza. Jifunze leo, jifunze kila kukicha. Kamwe usijisikie vyema na kutulia bila ya wewe kuhakikisha umejifunza kitu kipya. Lakini pia usiishie tukujifunza. Weka…
-
UCHAMBUZI WA KITABU SCREW IT, LETS DO IT
Mwandishi: Richard BransonMchambuzi: Godius Rweyongeza Richard Branson ni mjasiliamali na mwanzilishi wa kampuni ya Virgin. Ni moja kati ya watu wacuache sana ambao wanachukua hatua za hatari. Katika kitabu chake SCREW IT, LETS DO IT ametushirikisha mambo mengi sana. Haya hapa ni mambo 17 kutoka kwenye kitabu chake. 1. Kuanza kazi ndio sehemu muhimu sana…
-
WHEN ONE PLUS ONE DOES NOT BECOME TWO: Mambo Matano Ya Kufanya Ndoto, Malengo Na Maono Yako Yanapoenda Kinyume Na Matarajio
Kwa kawaida moja na moja ni mbili,njiti ikigusishwa na kiberiti moto huwaka na chumvi ikiwekwa kwenye maji itayeyuka. Hayo yote niliyotaja hapo juu yanatokea kwenye hali ya kawaida. Ila kuna nyakati moja na moja huwa haziwi mbili. Kuna nyakati njiti ikigusishwa na kiberiti, moto hauwaki. Na kuna nyakati chumvi kwenye maji haisagiki. Je, nataka kusema…
-
Vitu Viwili Vitakavyokupa Nguvu Kwenye Zama Hizi
Hongera sana rafiki yangu kwa zawadi ya siku hii njema ya leo. Leo hii ni siku ya kipekee sana. Moja kati ya vitu vinavyofurahisha sana, ni pale unapokamilisha kazi ambayo ulikuwa unaifanya kwa siku nyingi sana kiasi kwamba ukawa unajisikia mtupu kwa ndani. Yaani unaona umekamilisha kazi ile na haudaiwi kitu chochote. Umetoa kila kitu…
-
NIKIWA MKUBWA
Kila mtoto huwa na ndoto fulani katika maisha yake.Ukiwasikiliza watoto wadogo utasikia wakisema maneno kama,Nikiwa mkubwa nitakuwa raisi wa nchi hiiNikikua nitakuwa daktariNikikua nitakuwa kama fulani…. Na wewe unayesoma hapa kuna siku ulikuwa mtoto. Kuna ndoto ulikuwa nazo si ndio?Je, ulikuwa na ndoto zipi? Ulitaka kuwa nani? Sasa leo hii napenda nikuulize? Ziko wapi hizo…
-
Neno Hili Litakufanya Upendwe Na Watu, Na Neno Hili Litakufanya Uchukiwe Na Watu
Habari rafiki. Hongera sana kwa siku hii ya kipekee sana. Leo ni siku njema sana kuwahi kutokea duniani. Miongoni mwa njia za mawasiliano anazotumia binadamu ni maneno. Kwa siku mwanaume anasemekana anatamka maneno 7,000 huku mwanamke akitamka maneno 20,000. Kati ya maneno hayo yote yanayosemwa kwa siku moja, kuna maneno mawili muhimu sana ambayo yakitamkwa…
-
Vikwazo Viwili (02) Vikubwa Cha Ukuaji
Habari ya siku hii njema sana rafiki.Mara nyingi mtu akiwa anaanza kitu huwa anaanza kwa motisha kubwa sana. Utakuta mtu anakuwa na moto wa kufanya kitu kiasi kwamba humwambii kitu. Utasikia mtu anakuambia yaani fursa fulani inalipa sana na mimi ngoja niifanye. Hapo mtu anakuwa anajua mazuri mengi ya jambo husika. Kadri siku zinavyozidi kusogea…
