-
Kijana Huu Ndio Muda Kupangilia Ratiba Zako Vizuri
Habari ya siku hii njema sana ya leo. Hongera sana kwa aiku hii ya kipekee sana. Kwa hakika hii ni siku ambayo unapaswa kuitumia vyema sana. Siku zinazidi kukimbia kila kukicha. Na kila siku inayopita basi hiyo hairudi. Wakati huu unabaki kuwa wakati pekee wa wewe kupangilia ratiba zako na kufanya mambo makubwa. Kama leo…
-
Unapaswa Kuwa Na Ndoto Kubwa
Unapaswa kuwa na ndoto kubwa sana za maisha ambazo unazifanyia kazi. Usiishi tu ilimradi unaishi. Usifanye tu ilimradi unafanya. Bali hakikisha unafanya kweli kazi ukiwa unajua unaelekea wapi. Na sehemu nzuri unapoweza kuelekea ni kwenye ndoto yako kuu ya maisha. Je, unayo ndoto?Je, unataka kufikia nini baada ya miaka mitatu mpaka mitano?Unataka kuwa unamiliki nini…
-
TAFAKARI YA WIKI: Kipaji Ni Bei Rahisi Sana Kuliko Chumvi
Kila mtu kazaliwa na kipaji ndani yake. Yaani mtu anapozaliwa anakuwa na vipaji kati ya 500 mpaka 700. Ila kadri mtu anavyokua kulingana na mazingira, elimu, maarifa, n.k kuna baadhi ya vipaji vinaachwa pembeni na kile kitu ambacho mtu anaweka nguvu yake zaidi ndicho ambacho mwisho wa siku kinaibuka na kukua zaidi. Kipaji ni kitu…
-
Haribu kilichopo Ili Upate Kitu Bora Zaidi
Wahenga walisema kwamba mtaka cha uvunguni sharti ainame. Ukifuatilia usemi huu kwa undani utagundua kwamba pale unapohitaji kitu kizuri basi kuna gharama ambayo unapaswa kuilipa kabla hujapata kitu. Na gharama hii muda mwingine inaweza kukutaka kuharibu kitu kwanza kabla kitu kizuri hakijaonekana. Kwa hiyo pale utakapotakiwa kuharibu kitu kwanza usishangae wala usisite kama kuharibu ndio…
-
Vitu Tisa (09) Vinavyopaswa Kuwa Sababu Ya Wewe Kuingia Ajirani Na kitu kimoja Cha Ziada Ambacho Hakipaswi Kukusuma Wewe Kuingia Ajirani
Je, una mpango wa kuingia ajirani? Je, upo kwenye ajira sasa hivi? Kwa nini?Kawaida kila kitu huwa kinafanyika kwa sababu. Vivyo hivyo unapoingia kwenye ajira basi unapaswa kuwa na sababu inayokusuma. Najua utashangaa kuona nakuandikia kitu kama hiki. Katika akili yako unajua kwamba mtu unaingia ajirani ili upate pesa. Lakini kitu hakipaswi kuwa kitu kinachokusuma…
-
Jambo Moja Unalopaswa Kuliendeleza Kila Siku
Hongera sana kwa siku hii ya leo. Ni siku ya kipekee, ni siku ambayo hujawahi kukutana nayo, ni siku ambayo unapaswa kuiishi. Ndani ya siku hii ya leo hakikisha unafanya vitu bora zaidi ya jana. Ongeza thamani zaidi ya zaidi ya jana. Kuwa mtu bora zaidi ya ulivyokuwa jana. Usikubali leo kuiona jana kama siku…
-
Kila Kitu Kipo Cha Kutosha
Dunia tunamoishi kuna kila aina ya utajiri. Hakuna kitu kinachopatikana kwa udogo. Ukiona unatafuta kitu na hukioni sio kwamba hakipo ila wewe haujajiweka katika mkao wa kukiona, iko hivyo. Leo hii ukiamua Kutoka nje na kuangalia magari ya yenye rangi nyekundu utayaona mengi sana. Ukiamua kufuatilia juu ya viatu vya aina fulani utahshagaa sana, utakuatana…
-
Aliyeandika Pesa Ni Chanzo Cha Maovu Yote, Hakuwa Hata Na senti Moja
Ukienda katika mazingira ya watu ambao hawana pesa, utawasikia wakisema kila aina ya ubaya juu ya pesa. Utawasikia wakisema wenye pesa hawalali, utawasikia wakisema wenye pesa hawali kama sisi ambao hawana. Utawasikikia wakijifariji kwamba hautazikwa na pesa kwenye jeneza moja…Na mengine mengi kweli…orodha inaendelea na kuendelea. Soma Zaidi: HII NI HAZINA ILIYOLALA KWENYE KITABU HIKI…
-
Maswali Matano (05) Ya Kujiuliza Siku Yako Ya Kuzaliwa
Juzi tarehe 05/08 ilikuwa siku yangu ya kuzaliwa. Nashukuru sana wale wote mlionitumia salamu za pongezi. Hakika kwangu siku hiyo ilikuwa ni siku ya muhimu sana. Miongoni mwa mengi yaliyofanyika ilikuwa ni mimi kukaa chini na kujiuliza maswali kadha wa kadha haswa kuhusu uwepo wangu hapa duniani. Ni maswali ambayo katika hali ya kawaida ni…
-
Maeneo Manne (04) Ya Kupata Vitabu Mtandaoni Bure
Habari ya siku hii njema sana rafiki yangu. Hongera sana kwa siku hii ya kipekee. Moja kati ya vitu ambavyo nasisitiza kila siku ni kusoma vitabu. Kusoma ni njia rahisi ta kupata maarifa ya ambayo watu wameyafanyia utafiti na wewe unakuwa una uwezo wa kuyapata yale maarifa ndani ya siku, wiki au mwezi kulingana na…
-
Kosa Moja (01) Yanayofanywa Na Watu Wakati Wa Usomaji Wa Vitabu
“Ukitaja kumficha mwafrika kitu basi kiandike katika kitabu” ni usemi wa Kiafrika. Usemi huu unaashiria kwamba waafrika sio wasomaji wa vitabu. Tafiti zinaoenesha watu “wengi sana huwa wanakufa katika umri wa miaka 20 na kusubiri kuzikwa wakiwa na umri wa miaka 80″. Hii ni kutokana na ukweli kwamba watu wanapofikia umri wa miaka 20 wengi…
-
Shukrani Kwa Watu Wote KHERI YA SIKU YA KUZALIWA KWANGU
Leo ni tarehe 5/8. Ni siku ya kuzaliwa kwangu. Siku hii ya leo naomba niitumie kutoa shukrani maana kama ilivyo kwambaKuwa na hisia za kutoa shukrani, bila kutoa shukrani ni sawa na kuandika barua bila kuituma. Kwa msingi huo nachukua nafasi hii kumshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai mpaka siku ya leo hii ninapoadhimisha siku…
-
HILI NALO NI RAHISI
Moja kati ya kauli ambayo hutumiwa na watu wa kawaida ni kauli ya jambo hili ni rahisi na mimi naliweza. Ila mara nyingi ukiwafuatilia watu wa namna hii utagundua kwamba wao wanasema tu ili kujifurahisha. Sio kila anayesema ni rahisi basi huwa anafanya kile kitu kuonesha urahisi wake uko wapi. Rafiki yangu, kama unataka kupiga…
-
Hii Ndio Sifa Ya Rafiki Wa Kweli
Hongera sana rafiki kwa siku hii ya leo. Kumbuka kwamba siku ya leo ni siku ya kipekee sana. Haijawahi kutokea wala haitakuja kutokea. Ni siku mpya, ni siku ya kipekee na siku itakayokuwezesha kufanya makubwa sana. Leo hii tuangalie sifa moja kuu ya rafiki wa kweli. Sifa nzuri sana ya rafiki wa kweli ni kwamba …
-
Hili Ni Jambo La Kishujaa Unalopaswa Kufanya Likiwa La Kwanza Kila Siku
Zamani nilikuwa najua kwamba ili mtu aitwe shujaa, basi anapaswa kuwa ameipigania nchi yake katika vita au kufanya kitu ambacho hakijawahi kufanywa na mtu mwingine. Yaani nilijua kwamba mpaka awe amefanya kitu kikubwa sana, sana hapo ndipo tunakuja kusema kwamba huyu ni shujaa. Ila kumbe ushujaa sio mpaka vita. Ushujaa sio mpaka utangazwe kwenye vyombo…
-
Kama Huoni Thamani Ya Kitu Hiki Basi Huwezi Kuona Thamani Ya Vitu Hivi.
Kuna vitu huwa hatuoni thamani yake katika udogo wake, tukisubiri kuja kuona thamani ya vitu hivyo vitakapokuwa vikubwa sana. Ila ukweli ni kwamba kama hujaona thamani ya vitu vidogo basi huwezi kuona thamani ya vitu vikubwa. Kama huoni thamani ya shilingi mia moja basi hutaona thamani ya laki. Kama huoni thamani ya dakika moja basi…
-
Hii Ni Imani Mbaya Ambayo Watu Wanayo Juu Ya Kushindwa
Habari ya siku hii njema sana rafiki yangu. Hongera sana rafiki yangu kwa siku hii njema sana. Katika maisha yetu ya kila siku moja kati ya jambo ambalo halipendwi kuongelewa sana na neno kushindwa. Hii ni kutokana na ukweli kwamba watu walio wengi wanafikiri kwamba kushindwa ndio mwisho wa kila kitu. Na wengine wanajua kwamba…
-
Sifa Tatu Wanazobeba Wajasiliamali Kwa Pamoja
Kuanzisha, kukuza na kuendeleza biashara kuanzia chini sio suala la kuchukulia lelemama. Ni suala ambalo kiukweli lina misingi yake mikubwa sana ambayo ipo na misingi hii wajasiliamali makini sana wanaifahamu. Na ukiwafuatilia watu wote walioanzisha na kukuza biashara zao basi utaguandua kwamba kuna vitu ambavyo wao wanavyo, vinavyowaunganisha na kuwafanya wazidi kung’0aa na kuinua biashara…
-
Kitu Kimoja Cha Thamani Unachoweza Kufanya Siku Yako Inapoanza
Kwa kawaida sana asubuhi watu huwa wanakimbizana na vitu vingi sana, sana. Hii ni kutokana na ukweli kwamba watu walio wengi huwa wanaianza siku wakiwa wamechelewa hivyo kujikuta wamechelewa kufanya baadhi ya vitu. Na hivyo kuna vitu ambavyo watu huwa wanasahau kabisa kuvifanya. Soma Zaidi: Nani Ametengeneza Kanuni Hii? Haifanyi Kazi!! Kuna vitu vingi unaweza…
