Month: March 2022

  • Kutoka Kwenye Ajira Mpaka Kujiajiri: HATUA 09 Za Kufuata Kutoka Kwenye Ajira Mpaka Kujiajiri

    Leo nataka nikupe mwongozo muhimu ambao unaweza kuutumia katika kuanzisha biashara hasa ukiwa umeajiriwa. Ebu fikiria kwamba umeajiriwa leo hii na unataka uanzishe biashara yako ili ujiajiri. Huu mwongozo ninaoenda kukupa hauna mfanano wake, kiufupi hakuna mtu mwingine ambaye amewahi kukwambia kitu Kama hiki, na wala hata hamna kitabu wala ebook ya kununua ambayo imefunguka…

  • KIPAJI NI DHAHABU-1 binadamu wote ni sawa ila uwezo ni tofauti

    KIPAJI NI DHAHABU-1 binadamu wote ni sawa ila uwezo ni tofauti

    Walau siyo mara yako kusikia kuwa binadamu wote ni sawa. Au kusikia haki sawa kwa wote. Japo kuna huo usawa kwa watu wote,  linapokuja suala zima la kipaji na  uwezo mkubwa tulionao tunatofautiana. Ndio maana kuna watu wanajulikana kama multi-talented. Wana uwezo katika maeneo tofauti tofauti na wanaweza kuyafanyia kazi hayo maeneo kwa ustadi. Diamond…

  • Hiki kitu ndicho kitakusaidia wewe kukaa kwenye gemu la mafanikio kwa muda mrefu mpaka ukashinda

    Kila mtu anapenda  kufanikiwa. Yaani, hapa ufahamu kabisa kuwa ni kila mtu  anapenda. Hakuna mtu anapenda kushindwa. Ukiingia kwenye chumba chochote ambacho kina watu, ukiuliza wangapi wanapenda kufanikiwa. Wote watanyosha mikono juu na tena wengine watanyosha mikono miwili juu. Sasa swali letu ni kwa nini watu wengi huishia kufeli wakati wanapenda kufanikiwa. Najua hapa unaweza…

  • Jinsi Ya Kupima Thamani Ya Utajiri Ulionao

    Kama una ndoto kubwa na za kufika mbali basi ni muhimu kwako kujua utajiri ulionao kwa sasa. Hii itakupa nguvu ya wewe kuendelea kupambana zaidi ili uweze kufika mbali. Muda wa wewe kupima Utajiri wako. Kutokana na shughuli kuwa nyingi, huwezi kuwa unapima Utajiri wako kila siku. Ila unaweza kuwa unapima Utajiri wako walau mara…

  • Milionea Ni Nani?

    Milionea ni mtu anayemiliki rasilimali zenye thamani ya milioni moja. Kutokana na thamani za fedha kutofautiana, kwa sasa kipimo kinachotumika kupima umilionea ni dola ya Marekani. Kwa hiyo ukisikia wanasema fulani ni milionea, ujue ni kwa thamani ya dola za Marekani.  Hii ndio kusema kwamba unaweza unaweza kuwa na rasilimali zenye thamani ya milioni moja…

  • UWEKEZAJI NI NINI?

    Moja ya eneo ambalo limekuwa halieleweki miongoni kwa watu wengi basi ni UWEKEZAJI. Kumekuwepo na dhana mbalimbali kuhusu UWEKEZAJI na WAWEKEZAJI. Hizi dhana zimewafanya watu wengi washindwe KUWEKEZA huku wachache wanaoilewa dhana hii wakiwa wanawekeza kwenye maeneo ya muhimu kwa manufaa makubwa. Dhana potofu kuhusu UWEKEZAJI. Kumekuwepo na dhana mbalimbali kuhusu UWEKEZAJI. Na moja ya…

  • Mafanikio ni nini?

    Mafanikio ni kitu ambacho kinakuwa na maana tofauti tofauti kwa watu. Kwa mwanafunzi mafanikio yake ni kufaulu mtihani.Kwa mwanachuo mafanikio yake yanaweza kuwa kupata kazi baada ya kuhitimu.Kwa aliyepata ajira mafanikio kwake yanaweza kuwa ni  kupandishwa cheo au kuoa/ kuolewa au kuanzisha biashara au kujiajiri. Hivyo, hakuna maana moja ya mafanikio ambayo inaweza kuwekwa kama…

  • Bilionea Ni Mtu Wa Aina Gani?

    Bilionea ni mtu anayemiliki rasilimali zenye thamani ya bilioni moja. Bilioni ina milioni elfu moja NDANI yake. Ubilionea hupimwa kwa thamani ya fedha ya nchi husika. Kutokana na thamani za fedha kutofautiana, kwa sasa kipimo kinachotumika kupima ubilionea ni dola ya Marekani. Kwa hiyo ukisikia wanasema fulani ni bilionea, ujue ni kwa thamani ya dola…

  • Cha Kufanya Pale Wenzako Wanapokuzidi Elimu, Kipaji, Ujuzi, Konekisheni n.k

    Kama unajua Kuna wenzako wanakuzidi, elimu, kipaji, ujuzi, konekisheni n.k. unapaswa kupiga kazi kwa bidii. Yaani, wewe huna maarifa, ujuzi, kipaji halafu unabweteka. Inakuwa siyo poa hata kidogo. Moja ya kitabu ambacho nimewahi Kusoma kikanifungua sana ni kitabu cha 50CENT na cha Kobe Bryant. 50CENT anasema hivi, unaweza kumzidi akili, unaweza kumzidi konekisheni, unaweza kumzidi…

  • Kitu Kitakachobadili maisha yako leo hii na hata milele

    Ninataka nikwambie kitu kitakachobadili maisha yako kuanzia leo hii na kuendelea. Nataka ufanye zoezi hili rahisi sana. Anza kwa kujiuliza vitu na shughuli zako zote unazofanya. Sasa angalia ni shughuli ipi ambayo ukiacha kuifanya na KUWEKEZA nguvu zako kwenye shughuli zinazobaki utapata matokeo makubwa sana. Kama ipo achana nayo. Kisha nguvu zako na muda wako…

  • Hii Ndio Siri Kubwa itakayokusaidia kutengeneza fedha Nyingi

    Unataka kijua ni kwa namna Hani unaweza kutengeneza fedha Nyingi zaidi ya unavyotengeneza sasa hivi? Umechoka na kipato chalo cha Sasa, ungependa kutengeneza kipato kikubwa zaidi ya unavyotengeneza Sasa? Ndio Kuna njia. Na njia hii Ndio ninaenda kukueleza leo kwa umakini na kwa lugha rahisi sana. Kwanza Anza na kufuatilia hesabu za fedha zako zinazoingia…

  • Jinsi Ya Kutoa Na Kupokea Mrejesho

    Mrejesho ni miongoni mwa ujuzi muhimu sana unaopaswa kuwa nao.  Aidha iwe ni kutoa au kupokea mrejesho. Mrejesho ni kutoa au kupokea mapendekezo ya kumsaidia mtu kuboresha kazi yake. Kuwa mtu wa kupokea mrejesho na kuufanyia kazi na hasa pale unapokuwa na mrejesho unaoona kabisa kwamba unaenda kuwa mrejesho wenye manufaa kwako. Kwetu sisi kutoa…

  • Wanawake Watano Walioshindwa Karibia Kwenye Kila Kitu Na Bado Wakashinda Kwa Kishindo

    kuna usemi wa wahenga wetu wanaosema kuwa kukatika kwa jamvi sio mwisho wa mazungumzo. Jamvi linaweza kukatika na bado mazungumzo yakaendelea, tena vizuri tu. Sasa leo, natakata niongee nawe kuhusu hili suala na hasa wewe mwanamke.Leo nimekuandalia Makala maalumu, huku nikitaka uchukue masomo makubwa kutoka kwa wanawake walioanguka na bado wakainuka na kushinda kwa kishindo…

  • Nguvu Ya Jina (jina la biashara, jina lako na Jina la brand yako)

    Bidhaa mbalimbali huwa zinatambulika kwa majina. Kila mtu huwa anatambulika kwa jina lake. Hata hivyo iko wazi kuwa baadhi ya majina yakitajwa, yanakuwa na nguvu ukilinganisha na majina mengine. Kuna kampuni ikizindua bidhaa fulani, watu wataikimbilia kuinunua na kampuni nyingine inaweza kuzindua bidhaa ya aina hiyohiyo ila watu wakawa hawajaikimbilia. Na ukifuatilia kiudani zaidi unaweza…

  • Kitu Cha Kufanya Ndoto Yako Inapohusisha Watu Wa Nje

    Kuna nyakati ndoto na malengo yako yanahusisha watu wa nje. Yanahusisha taasisi za serikali, makampuni fulani au hata mataifa mengine ambayo yana taratibu zake, utendaji kazi wake na kila kitu cha kwake. Watu hawa utakuta kwamba wana njia zao kutenda na kushughulika na vitu vyao katika namna ambayo inaweza isiwe rafiki kwako. Kwa mfano, unaweza…

  • Vitu Vya Kuepuka Ili Uweze Kuishi Maisha Mazuri

    Kwanza kabisa, hakikisha unaepuka kulalamika. Ukilalamika unakuwa unawanufaisha wale ambao wanakusikia. Epuka kufuatilia maisha ya watu wengine Epuka kutumia fedha yako yote ulyonayo bila kuweka akiba Epuka kukopa. Tumia dfedha yako Epuka kutumia fedha zaidi ya kipato chako Epuka kumezwa na mitandao ya kijamii Epuka kuianza na kuimaliza siku yako bila ya kuwa na malengo…

  • Anza Na Kina Kile Ulichonacho

    Kabla hujasema kwamba haiwezekani na wala siwez i kufanya kitu fulani, jihoji kiundani na uangalie ni kitu gani unaweza kufanya. Kuna vitu vingi unaweza vizuri tu Kabla hujasema kwamba, sina cha kuanza nacho, angalia vizuri ikwenye mazingira yako ni kipi ulicho nacho ambacho unaweza kuanza kutumia sasa hivi. Kuna vitu ulivyo navyo ambavyo unaweza kuanza…

  • Njia Tano Rahisi Za Kukuza Biashara Kwenye Zama Hizi Za Mtandao

    Rafiki yangu hongera sana kwa siku hii nyingine na ya kipekee sana. Siku ya leo ningependa nikuelekeze njia tano tu ambazo zitakusaidia wewe kukuza biashara yako kwenye zama hizi za intaneti. Njia hizi ni rahisi kufanyika na unaweza kuzifanyia kazi popote pale ulipo Kwanza hakikisha kwamba biashara yako ipo kwenye mtandao. Kwenye zama hizi hapa…

  • Jinsi Ya Kutatua Changamoto Unazokutana Nazo

    Habari ya siku hii njema sana rafiki yangu wa ukweli. Leo ni siku nyingine ya kipekee sana na leo nataka nikwambie kwamba usikubali kamwe kwenye maisha yako changamoto zikuzuidi wewe kukufanya ushindwe kufanikisha malengo yako. Siku zote changamoto huwa zinatokea. Changamoto ni kama zinatokea kukuonesha kwamba je, uko siriazi kweli na kile kitu ambacho unataka.…

  • NGUVU YA NENO: MANENO HUUMBA NA KAULI 101 UNAZOPASWA KUZIEPUKA ILI KUFANIKIWA

    UTANGULIZI Maneno huumba. Ni usemi mfupi wa wahenga ila wenye maana kubwa sana. ni ukweli kuwa maneno yana uwezo wa kuumba kitu chochote. Ukitaka maneno yakuumbie kitu kizuri, basi unaongea maneno chanya. Ukitaka maneno yakuumbie kitu kibaya basi unaongea unaongea maneno hasi. Ni hivyo tu. Sasa kwenye kitabu hiki nimeona nikuletee kauli 101 ambazo unapaswa…

X