Author: Godius Rweyongeza

  • Huu Ndio Muda Ambao Unapaswa Kufanikiwa Kwa Viwango Vikubwa Sana

      Rafiki yangu hongera sana kwa siku hii ya kipekee sana.  Sku ya leo nilipenda tu nikueleze kuwa kuna muda ambao wewe hapo unapaswaa kufanikiwa kwa viwango vikubwa. Na muda huu ni pale ambapo unkuwa hauna kitu chochote kile cha kupoteza. Kama ndio kwanza unaanza na hauna vitu vingi ambavyo unaweza kusema kwamba utapoteza basi…

  • DAKIKA 15 NA SONGAMBELE

        Rafiki yangu unaendelaje? Ni vizuri sana ushukuru kwa ajili ya siku hii ya leo. Maana, kuiona siku hii ya kipekee ni jambo jema kabisa. kuna watu wengi walitamani kuiona siku ya leo ila haikuwezekana. Hivyo, tumia sekunde chache kushukuru kwa ajili ya zawadi ya siku hii ya leo.   Lakini pia hakikisha kwamba…

  • Hivi Ndivyo Unapishana Na Fedha Kwenye Zama Hizi Za Intaneti

        Rafiki yangu hongera sana kwa siku hii nyingine ya kipekee sana. siku ya leo napenda nikwambie vitu ambavyo vinakufanya upishane na fedha kwenye zama hizi za intaneti na mitandao.   1. kudharau majukwaa ambayo unapata. Kama  unayadharau majukwaa au kuyachukukulia poa, basi ujue kwamba unapishana na fedha. Maana majukwaa ya mitandaoni ni sawa…

  • ONE TIME OFFER: Pata vitabu vyangu 12 kwa kulipia kitabu kimoja tu

        Kuna matukio ambayo huwa yanajitokeza kwenye hii dunia, ambayo huwa yanajulikana kama one time event. Yaani, kwamba likitokea ndio limetokea huwa halijirudii tena. Mfano wa tukio la aina hiyo hapo ni kuteswa, kufa kufufuka mpaka kupaa kwa Yesu Kristu kama ilivyoelezwa kwenye Biblia. Tukio la aina hiyo hapo ni one time event maana…

  • SHUHUDA ZA KWELI KUTOKA KWA WASOMAJI WA KITABU CHA AKILI YA DIAMOND

    Pata nakala ya kitabu hiki hapa kwa kubonyeza HAPA Rafiki yangu karibu sana katika ukurasa huu ambapo unaenda kupata shuhuda za kweli kutoka kwa watu waliosoma kitabu cha Akili ya Diamond. Kama bado hujapata nakala ya kitabu hiki hapa, basi unapaswa kufahamu kuwa unajikwamisha sana. chukua hatua leo hii kwa KUBONYEZA HAPA Nashukuru sana mwanamafanikio.…

  • USICHOKE KUIFANYIA KAZI NDOTO YAKO

      Usichoke kufanya kazi na Kuweka juhudi kwenye kile unachofanya. Hata kama unakutana na changamoto usiishie njiani, endelea kuweka kazi. Maana yajayo yanafurahisha.  Godius Rweyongeza Jiunge nami youtube kwa KUBONYEZA HAPA Pata vitabu vyangu kwa KUBONYEZA HAPA Kupata makala maalumu kwa watu maalumu basi BONYEZA HAPA

  • Maajabu Ya Mtandao Wa Intaneti

      Mtandao wa intaneti umerahisisha sana suala zima la kujifunza.  Vitu ambavyo kwa siku za nyuma vingekugharimu sana, leo hii unaweza kuvipata kinganjani mwako kwa bando unalonunua. Muda mwingine unaweza kupata maarifa haya ya kipekee bure kabisa kwa kutumia bando la rafiki, kampuni unapofanya kazi, au chuo unaposoma. Jitahidi sana kadiri uwezavyo kutumia hii nafasi…

  • Hii Akili Ya Diamond, Ndio Akili gani?

    Juzi niliandaa somo lililokuwa na mkusanyiko wa maswali ambayo watu wanauliza sana kuhusu kitabu cha Akili Ya Diamond Lakini swali ambalo limeendelea kujitokeza ni swali la je, hii Akili Ya Diamond, ndio akili gani haswa? Kiufupi ni kuwa kuna mambo 50 ambayo yote kwa pamoja yanatengeneza akili moja ya diamond. Na mambo nayo yote 50…

  • Kama Kuna Kitabu Ambacho Ungependa Kusoma Fanya Hivi

    Kama kuna kitabu ambacho unaona kwamba hakijaandikwa basi chukua hatua wewe hapo kukiandika. Kama kuna wimbo ambao ungependa kuusikiliza ila unaona kwamba haujaimbwa uimbe wewe hapo. kama kuna mchoro ambao ungependa kuuona basi uchore wewe, hapo. Usipoteze muda wako kujadili vitu ambavyo wewe mwenyewe unaweza kusbabisha na kuvileta kwenye uhalisia. Na kama huwezi kuvileta kwenyey…

  • Fanya Kitu Hiki Hapa Kama Unataka Kufanikiwa

      Rafiki yangu hongera sana kwa nafasi ya siku hii nyingine na ya kipekee sana. Siku ya leo nimeona nikwambie kitu hiki kimoja ambacho kitabadili mtazamo wako kwenye mambo mbalimbali ambayo unafanya hapa duniai. Na kitu hiki ni kwamba kama unataka kufanikiwa basi kuwa mtu wa thamani. Jiongezee thamani yako kwenye kile ambacho unafanya. Fanya…

  • Leo ndio siku ya mwisho kabisa ya kupata kitabu cha AKILI YA DIAMOND mwa bei ya ofa

     Habari ya leo. Leo ndio siku ya mwisho kabisa ya kupata kitabu cha AKILI YA DIAMOND mwa bei ya elfu 3. Baada ya saa tano dakika 59 Usiku, hutaweza kukipata kwa bei hiyo tena. Kupata sample ya kitabu hiki kwa kubonyeza HAPA Karibu ujipatie nakala hii kwa kubonyeza HAPA Bei ya ofa ni 3,000/- tu. Bei…

  • KITABU: MAAJABU YA KUSOMA VITABU

    Kupata kitabu hiki hapa BONYEZA HAPA   Mwezi wa tisa mwaka 2019 nilitoa kitabu MAAJABU YA VITABU bure kwa watu wote ili waweze kusoma na kujifunza maajabu yaliyofichwa kwenye kusoma vitabu. Mwanzoni sikutegemea kama kitabu hiki kingesomwa na watu wengi sana. Ila kilichotokea toleo la kwanza la kitabu hiki hapa lilisomwa na maelfu kwa maelfu ya…

  • Hivi Ndivyo Kitabu Cha Kutoka Sifuri Mpaka Kileleni Kinaweza Kufika Mezani/Nyumbani Kwako Leo Hii

      Rafiki yangu, bila shaka umekuwa na siku njema sana.  Mwanzoni mwa mwa mwaka huu nilizindua kitabu cha KUTOKA SIFURI MPAKA KILELENI. Kitabu hiki cha kipekee kimewafikia wengi mpaka sasa na kila mtu ambaye amekipokea kitabu hiki hapa amethibitisha kuwa kitabu hiki hapa kimemsaidia mambo makubwa sana.  Mfano mzuri ni huyu hapa  Safi kabisa mkuu,hongera…

  • KITABU: TOFAUTI 50 KATI YA MATAJIRI NA MASIKNI

      Hivi ni kitu gani ambacho huwa kinawatofautisha matajiri na masikini? Kwa nini matajiri huwa wanaendelea kuwa matajiri na masikini kuendelea kuwa masikini? Kuna kitu gani ambacho matajiri wanakijua ambacho masikini hawajui?  Kutokana na kuwepo kwa maoni mbalimbali kuhusu matajiri. nimekuandalia kitabu chenye lengo la kukueleza kitu ambacho kinawatofautisha matajiri na kuwafanya wazidi kuwa matajiri…

  • Hakuna Kitu Cha Bure

    Hakuna kitu cha bure. Ukiona mtu anakualika alika ili akupe cha bure basi jua kuna sehemu unaenda kuliwa. Amia sasa kuwa unaenda kulipa gharama kupata unachotaka. Vitu vizuri vyote sharti vilipiwe. Shauri yako!! Unadhani waliosema Vya bure vinaua hawakuuona ukweli? Imeandaliwa na Godius Rweyongeza Tangu nimezindua kitabu cha AKILI YA DIAMOND, watu wamekuwa wakiniuliza maswali…

  • Hivi ndivyo unaweza kumfundisha mwanao Kuhusu fedha (Njia 6 zisizoshindwa)

     Hivi ndivyo unaweza kumfundisha mwanao Kuhusu fedha (Njia 5 zisizoshindwa) Rafiki yangu, karibu leo naenda kukushirikisha vitu vichache unavyopaswa kutumia kama sehemu ya kumfundisha mwanao masuala ya fedha. 1. Mpe fedha zake mwenyewe azishike na kukaa nazo.  2. Kama unaenda kuwekeza, badala ya wewe kuwekeza na kumpa taarifa. Nenda naye ili muwekeze kwa pamoja. 3.…

  • WIKI HII KWA UFUPI: Mambo Muhimu Tuliyojifunza Ndani Ya Juma la 34

     WIKI HII KWA UFUPI: Mambo Muhimu Tuliyojifunza Ndani Ya Wiki Hii  Ni siku ya 236 sasa, tangu mwaka huu uanze. Huku zikiwa zimebaki siku 130 tu. Hiki Kitu kinapaswa kukufanya ujitume Zaidi kuhakikisha unafikia malengo yako mwaka huu. Ni vizuri pia ukafanya tafakari ya kina juu ya malengo ya mwaka huu. Uko wapi mpaka sasa…

  • Aina Tatu Za Wateja Ambao Utakutana Nao Kwenye Biashara Yako

      kupata kitabu hiki hapa bonyeza maandishi haya hapa https://www.getvalue.co/home/product_details/akili_ya_diamond  Kwenye biashara yoyote ile ambayo utaamua kufanya, kuna aina tatu za wateja ambao unaenda kukutana nao. Kwanza, ni wale wateja warioridhika na wapo tayari kumwambia mtu yeyote kuhusu biashara yako ili aje kununua kwako. aina hii ya wateja ni wale ambao wataendelea kuja kununua kwako mara…

  • Kama Hukupata Kitabu Cha Akili Ya Diamond Fanya Hivi Sasa Hivi

        Habari ya siku hii rafiki yangu. Hongera sana kwa siku hii ya kipekee sana. Tarehe 17/8/2020 ilikuwa ni siku ambayo kitabu cha akili ya diamond kilizinduliwa rasmi. Kitabu hiki hapa ni kitabu cha kipekee kimeeleza vitu 50 ambavyo wewe hujui kuhusu akili ya Diamond Platnumz. Na vitu hivi hamsini kwa pamoja tunaweza kuviweka…

  • Jack Ma Afunguka: Ushauri Wake Kwa Vijana Huu Hapa

      Vijana ndio suluhisho la kesho. Vijana wadogo ndio suluhisho kwa hofu zote. Ukikaa na vijana utakuwa mwenye nguvu muda wote. Ushauri ninaotoa kwa vijana ndio ambao naufanyia kazi mwenyewe. Ushauri huu ni kwamba, hakuna kitu rahisi, hakuna kitu ambacho kinapatikana bure. Kama unataka kufanikiwa, unapaswa kulipa ghrama. Alibaba imetumia miaka 18 kufikia ukubwa wa…

X