Author: Godius Rweyongeza

  • Vitu Nane (08) Vya Kuzingatia Kabla Ya Kuanza Biashara.

    Habari, Watu wengi sana wamekuwa wakitaka kujihusisha na ujasiliamali kwa sasa. Hii ni kutokana na ukweli kwamba kuwa na chanzo kimoja tu cha kipato si jambo la kukumbatia wala kupongeza. Ili kuweza kufikia uhuru wa kiuchumi, ambapo mtu utaishi maisha ambayo hayana hofu ya kesho, ujasiliamali ni jambo ambao haliepukiki. Hata hivyo watu wengi sana…

  • Fanya Kile Ambacho Wengi Wanaogopa

    Habari ya siku ya leo Rafiki yangu. Moja kati ya makosa makubwa sana ambayo waafrika tumeaminishwa na kuyakubali ni kuambiwa UKITAKA KUMFICHA KITU MWAFRIKA basi kiandike kwenye Kitabu. Basi mimi sijui nilikuwaje maana kile ambacho watu huwa wanasema ni kigumu kufanyika hicho hicho ndicho huwa napenda nifanye kwa ubora hadi watu washangae. Mfano nikiwa kidato…

  • Ndoto KutokaKwa Mama yangu! Ndoto Kutoka Kwa Mwalimu Nyerere

    Leo ikiwa ni siku ya Nyerere duniani, basi mengi sana yameandikwa juu ya mwalimu wetu na mengi sana yamesemwa juu ya mwalimu na baba yetu wa taifa. Lakini katika makala ya leo naenda kukuelimisha mambo ya tofauti ambayo ulikuwa bado hujayasoma. Nikiwa mdogo nilipenda sana kusikiliza hotuba za MWALIMU NYERERE. Kwa hiyo kila siku jioni…

  • TATIZO SI RASLIMALI ZILIZOPOTEA-21 Tatizo ni kauli zako

    Kila sehemu huwa ina lugha yake ambayo hutumiwa. Nikiwa kidato cha pili mwalimu wangu wa kiswahili alinifundisha kitu kinaitwa rejesta.Rejesta kwa ufupi ni lugha mahalia.Ukiwa hospitalini kuna rejesta yake.Ukiwa sokoni kuna rejesta yake.Ukiwa shuleni kuna rejesta yake. Vivyo hivyo katika biashara kuna rejesta muhimu ya kutumiwa.Rejesta ya biashara ni ya kiupole tofauti na na rejesta…

  • Kitu Kimoja Unachapaswa Kukiacha Sasa Ili Uweze Kufikia Uhuru Wa Kiuchumi

    Maisha ni safari ambayo tunaisafiri kila siku. Katika safari tunapata kujifunza mambo mengi sana. Kuna yale ambayo tunapaswa kuyaacha huku mengine tukiwa tuanapaswa kuyakumbatia. Moja ya kitu ambacho unapaswa kukiacha leo hii ni ile tabia yako ya kununua kila kinachokuja MBELE yako.Tabia hii si njema sana na inazidi kukupunguzia kipato chako. Hivyo hakikisha kabla ya…

  • TATIZO SI RASLIMALI ZILIZOPOTEA-20

    Habari ndugu msomaji na mfuatiliaji wa makala murua za tatizo si raslimali zilizopotea. Imani yangu unazidi kufaidika mfululizo wa makala haya. Kwa sasa nipo naweka utaratibu vizuri ili makala hizi endelevu ziendelee kukujia kwa ubora wa hali ya juu zaidi. Lakini pia nitaziweka kwenye blogu ili iwe rahisi wewe kuwa unazisoma kwa kurudia pale utakapozihitaji.…

  • Hii Ndio Siku Mpya Unayopaswa Kuishi

    Leo ni leo asemaye kesho ni mwongo. Ni msemo wa kiswahili. Kuna watu ni maarufu sana wa kuwaza yaliyopita. yaani wanasahau ya leo (sasa) kuwa ndio yenye umuhimu mkubwa sana kuliko hata yale wanayowaza. Leo ni siku nyingine mpya.Leo haijawahi kutokea. Najua hapa utaanza kuniambia “jana nilikunywa chai kama leo”Ndio uko sahihi Jana ulikunywa chai!…

  • Je,Upo Tayari Kupoteza? Utapoteza Nini Sasa?

    Katika maisha ya sasa hivi kuna vitu ambavyo ukiviongelea utaonekana umeweuka au umepoteza mwelekeo. Miongoni mwa vitu ambavyo ukiviongelea utaonekana wa ajabu ni KUPOTEZA. Ili uweze kutoka sehemu ulipo na kwenda hatua ya ziada lazima ukubali kupoteza. Unashangaa! Huu ndio ukweli ambao lazima uukubali! Ili uweze kuruka na kufika mbali lazima  kuchuchumaa kwanza.  Kama uko…

  • Ni Kweli Watanzania Hatuna Fedha Au Tunachezea Fedha?

    Nimerudi tena safuni,Kueleza ya moyoni,Langu lengo ni tubuni,Tupate wetu uhuru. Naam, naam, naam.Baada ya kupata kibwagizo cha ushairi huo, sasa karibu sana katika makala ya leo! Kumekuwa na malalamishi ya watanzania wengi.Malalamishi ya kwamba hatuna pesa!Malalamishi ya mshahara hautoshi,Malalamishi ya magufuri kabana!Malalamishi ya uongozi mbaya! Wakati malalamishi hayo yakitokea mambo yafuatayo yanazidi kupamba moto kila…

  • Hii Ndio Biashara Ambayo Kila Mtu Anaweza Kuanzisha

    Habari za siku ya leo Rafiki yangu, imani yangu kwamba jumatatu ya siku hii ya leo umeianza vyema sana na unaenda kufanya makubwa ndani ya siku hii ya leo. Kumbuka kwamba siku kama hii haitakuja kujitokeza tena. Leo hii tunaenda kuona Biashara ambayo kila mtu anaweza kuifanya.Makala hii imeandikwa kama jibu la swali ambalo nimeulizwa…

  • KONA YA SONGA MBELE; Jinsi Ya Kufanya Kazi Kubwa Kwa Nguvu Kidogo

    Habari za siku ya leo Rafiki yangu na ndugu msomaji wa makala kutoka katika blogu hii ya SONGA MBELE, imani yangu leo ni siku njema sana kwako. Na kufika hapa tayari utakuwa umeshafanya makubwa kwenye siku hii ya leo. Mara nyingi sana watu huwa tunakazana kufanya vitu vingi kwa wakati mmoja. Huwa tunapenda tufanye vitu…

  • TAARIFA MUHIMU; Mambo Kumi Ya Kuzingatia Kabla Ya Kuingia Katika Biashara.

    Kwanza namshukuru Mungu ambaye amenijalia pumzi siku hii ya leo, ikiwa ni tarehe 07.oktoba 2017.Hakika Mungu ni mkubwa sana na ninazidi kupumua huku nikisonga mbele. Bila shaka na wewe utakuwa mzima wa afya, kama unasoma hapa lazima utakuwa vizuri. Baada ya wiki iliyopita kutoa mada iliyokuwa motomoto kupitia studio za SUA FM (101.1), mada ikiwa…

  • Je, Ni Kweli Watanzania Hawajui Kupanga

    Unapanga nini? Watu wengi sana wamekuwa wakiwalalamikia watanzania kwamba watanzania hwàjaui kupanga na kuweka malengo.Basi baada ya kusikia hili ilinipasa nianze kufuatilia kwa umakini kuona kama ukweli nyuma ya kauli hii. Kupata kitabu hiki wasiliana na mimi kupitia 0755848391 sasa Swali la msingi nikilokuwa nikijiukiza je, ni kweli watanzania hawajui kupanga? Jibu la swali hili…

  • Kama Ningekuwa Wewe Ningefanya Hivi?

    Moja ya swali moja ambalo nimewahi kukutana nalo ni kutoka kwa Rafiki yangu anayependa kuigiza. Aliniuliza kama ungekuwa mimi ungefanyaje? Basi katika kuongea ilibidi nimshirikishe hatua fupi ambazo ningezifanya kwa haraka na kuanza kazi.Zisome ili siku tukikutana usiniulize swali hili la ungekuwa mimi ungefanyaje? Badala yake utaniuliza swali jingine tofauti? Ili Kupata kitabu hiki wasiliana…

  • Je, Ni Kitu Gani Unaweza Kukifanya Bora Zaidi Ya Mwingine?

    Hivi ulishawahi kujiuliza ni kitu gani unaweza kufanya bora zaidi ya wengine?Je, unakifahamu  kitu hiki?Kama unakifahamu kitu hiki naomba niseme hongera sana ila usiishie hapa, endelea kusoma makala hii mpaka mwisho.Kama hukifahamu, ebu tulia kwanza usiendelee. Chukua kalamu na karatasi. Ebu jiulize swali hili. Ni kitu gani naweza kukifanya kwa ubora zaidi ya watu wengine?Je,…

  • Takataka Tatu (03) Unazopaswa Kuzichoma

    Habari za siku ya leo Rafiki yangu na ndugu msomaji wa blogu ya songambele.Imani yangu leo ni siku njema sana kwako. Hakika tarehe 04 ya mwezi 10 21017 ni siku ambayo haijawahi kujitokeza maishani?  Tafuta kalenda zote hutakuja kuiona. Lakini hata kama bado utaambiwa uishi miaka mingi sana hapa duniani basi jua kwamba hutakuja kukutana…

  • Kosa kubwa Unalopaswa Kuepuka

    . Katika maisha kuna nafasi ya kuchagua vitu mbali mbali vya kufanya. Unaweza kuchagua sehemu unayotaka kwenda. Nani ungependa kukutana naye na kipi ungependa kufanya. Uchaguzi wa maisha ambayo ungependa kuishi unaufanya mwenyewe. Uchaguzi wako unaoufanya unatokana na maamuzi. Watu wengi wanaogopa kufanya maamuzi kwa sababu tu wanaogopa matokeo yakayojitokeza. Kila uamuzi unaoufanya unaweza kuja…

  • Tabia Tatu Za Pesa

    Habari, Katika maisha yetu ya kila siku pesa imekuwa ikizungumziwa sana. Pesa imekuwa ikitajwa na watu kutoka katika kila kona. Kila unachogusa ni pesa. Ukitaka kusafiri pesa lazima it itumike. Hata hapa unasoma makala hii kwa sababu kuna pesa umeitumia kununua vocha. Yaani kwa maisha ya sasa suala zima la kuwa na pesa si la…

  • Jambo Moja Litakaloinua Biashara Yako Popote Duniani.

    Ukuaji ni jambo la muhimu sana. Na mwanadamu ni mtu ambaye tunategemea akue kila siku. Ukuaji huu wa kila mwanadamu tunategemea utokee kwenye sekta zote zinazomhusu ikiwa ni kiroho, kimwili na kiafya. Kama wewe unasema kwamba utabaki jinsi ulivyo basi jua kwamba unazidi kupitwa na wakati. Maana dunia dunia yenyewe tu haibaki ilivyo bali inazidi…

  • Nijibu SMS 1000 Au Nisome Kurasa 1000? Ipi Bora? Nifanye Ipi?

    Habari za siku ya leo rafiki yangu. Binafsi naipenda sana mitandao ya kijamii. Inaniunganisha na watu ambao kama isingekuwapo basi ingekuwa vigumu kwangu kuonana nao. Mitandao ya kijamii inanifanya najifunza na kusoma zaidi; Inanifanya nijenge heshima yangu na mambo mengine mengi kutaja ila machache. Soma zaidi; Vitabu Vitatu Vya Kusoma Kabla Mwaka Huu Haujaisha Ujio…

X