-
Kama Utashindwa ni juu yako Na kama Utashinda Ni Juu Yako
Habari za leo rafiki na ndugu msomaji wa SONGA MBELE BLOG . Imani yangu unaendelea vyema katika hatua ya kutafuta na kuelekea mafanikio.Karibu sana katika makala yetu ya leo ambapo tunaenda kujifunza kitu kipya ambacho kitabadili mwelekeo wa maisha yetu Mara nyingi likitokea kosa lolote mtu atamtafuta mtu wa kulalamikia. Hivi ulishawahi kugundua kwamba ukimunyooshea mtu kidole kimoja…
-
Kuwa Mkarimu
Habari za leo rafiki na ndugu msomaji wa SONGA MBELE BLOG . Imani yangu unaendelea vyema katika hatua ya kutafuta na kuelekea mafanikio.Karibu sana katika makala yetu ya leo ambapo tunaenda kujifunza kitu kipya ambacho kitabadili mwelekeo wa maisha yetu Mara nyingi huwa watu wanaamini kwamba mtu unapaswa kuishi maisha kiasi kwamba ukifa utokee kwenye ukurasa wa mbele…
-
Vipaumbele vyako ni vipi?
Habari za leo rafiki na ndugu msomaji wa SONGA MBELE BLOG . Imani yangu unaendelea vyema katika hatua ya kutafuta na kuelekea mafanikio.Karibu sana katika makala yetu ya leo ambapo tunaenda kujifunza kitu kipya ambacho kitabadili mwelekeo wa maisha yetu Katika maisha tuna mambo mengi sana ya kufanya. Yote kwa pamoja ni mambo yanyotuelekezaa kwenye mafanikio. Ila ingawa…
-
Jambo Linalokuzia Kufikia Mafanikio.
Habari za leo rafiki na ndugu msomaji wa SONGA MBELE BLOG . Imani yangu unaendelea vyema katika hatua ya kutafuta na kuelekea mafanikio.Karibu sana katika makala yetu ya leo ambapo tunaenda kujifunza kitu kipya ambacho kitabadili mwelekeo wa maisha yetu Kadri unavyojitahidi kujikwamua ili uweze kupiga hatua kubwa sana ya mafanikio, yapo mambo yanayo jitokeza kukuzuia kufikia…
-
Kama Watu Wote Watakuwa Matajiri Maskini Watatoka Wapi?
Kuna baadhi ya watu wamekuwa na imani kwamba haiwezekani watu wote kuwa matajiri. Wengine wanasema kwamba haiwezekani watu wote kuwa matajiri na wengine wansema haiwekani mtu kuwa tajiri lakini bado akaendelea kumwabdu Mungu. Huu ni mtazamo hasi ambao watu wanao ambao hauwezi kukufanya usonge mbele. Siku zote watu wenye mtazamo huu huwa napenda kuwaambia wasome…
-
Ushindi Sio Mwisho, Ushindi Ni Mwanzo
Habari za leo rafiki na ndugu msomaji wa makala kutoka SONGAMBELE BLOG, karibu katika makala ya leo. Kila mtu atafutaye mafanikio hupenda kufikia mafanikio. Kila mwanadamu angependa kuona anashinda na kupiga hatua na kufikia hatua nzuri. Mafanikio kwa lugha nyingine tunaweza kusema ni ushindi. Ushindi ni mjumuiko wa siku nyingi za ushindi. Mara nyingi ushindi…
-
Kama Sio Wewe Ni Nani, Kama Sasa Ni Lini?
Habari za leo rafiki na ndugu msomaji wa makala za SONGAMBELE BLOG. Karibu sana katika makala ya leo. Watu wengi tumezaliwa na VIPAJI mbalimbali ambavyo kama tutavifanyia kazi basi tutapiga hatua kubwa na kufikia mafanikio. Ukomo wa kutumia kipaji chako unajiwekea mwenyewe, hakuna wa kukuwekea kikomo katika matumizi ya kipaji chako. Maisha yako sio tu…
-
Mafanikio Ya Mwaka Mzima Yanaletwa Na Nini?
Habari zaa leo rafiki na ndug msomaji wa blog yako ya pendwa SONGA MBELE BLOG imani yangu unaendelea vyema katika hatua ya kutafuta na kufikia mafanikio karibu sana katika makala ya leo. Ni kawaida sana kwamba kila mwanzoni mwa mwaka watu huweka malengo mazuri kwa ajiri ya mashirika makampuni na malengo binafsi pamoja na malengo…
-
Hili ndilo Jambo Muhimu Sana Ambalo Kila Mmoja Analihitaji.
Habari za leo rafiki na ndugu msomaji wa songambele blog, imani yangu unaendelea vyema katika hatua ya kuelekea na kufikia mafanikio ambayo ni haki yako ya msingi kabisa. Kwa leo ningependa kuzungumzia jambo moja ambalo kila mmoja wetu analihitaji katika maisha yake ya kila siku ili aweze kuendelea na kufikia mafanikio makubwa sana. Jambo lenyewe…
-
Kwa Nini Maisha Yako Umeyaweka Mtandaoni?
Habari za leo rafiki na ndugu msomaji wa SONGA MBELE BLOG . Imani yangu unaendelea vyema katika hatua ya kutafuta na kuelekea mafanikio.Karibu sana katika makala yetu ya leo ambapo tunaenda kujifunza kitu kipya ambacho kitabadili mwelekeo wa maisha yetu Leo tunaeda kuona ni kwa namna gani maisha yako unayaweka mtandaoni. Ukiamka kitu cha kwanza unachokifanya ni kuchukua…
-
Mambo matatu Ambayo Kampuni Yako Inapaswa Kuwa Nayo
Habari za leo rafiki na ndugu msomaji wa SONGA MBELE BLOG . Imani yangu unaendelea vyema katika hatua ya kutafuta na kuelekea mafanikio.Karibu sana katika makala yetu ya leo ambapo tunaenda kujifunza kitu kipya ambacho kitabadili mwelekeo wa maisha yetu Kampuni yeyote ili iweze kukua na kufikia hatua sana inahitaji walau kuwa na vitengo hivi vitatu ambayo ni…
-
Anza Na Moja
Habari za leo rafiki na ndugu msomaji wa SONGA MBELE BLOG . Imani yangu unaendelea vyema katika hatua ya kutafuta na kuelekea mafanikio.Karibu sana katika makala yetu ya leo ambapo tunaenda kujifunza kitu kipya ambacho kitabadili mwelekeo wa maisha yetu Anza na moja Moja ni kianzio kukubwa sana cha kila kitu. Hatuwezi kuzungumzia mafanikio katika sekta yoyote…
-
Hii Ni Zawadi Nzuri Ambayo Unaweza Kuwapa Watu Msimu Huu Wa Sikukuu
Ni kawaida ya watu wengi sana kutoa zawadi ka wayu wengi tuwapendao msimu kama huu wa krismasi. Hasa kwa tar 26 ambayo ndio sjku maarumu ya kufungua zawadi. Mwaka huu ushajiuliza utampa nini mtu ambaye unampenda. Songa mbele blog imekuletea zawadi nzuri ambayo unaweza kumpa umpendaye na zawadi hii itadumu kwa kipindi chote maisha ya…
-
Huu Ni Utumwa Ambao Kila Mtu Anapaswa Kuuepuka
Habari za leo rafiki na ndugu msomaji wa SONGA MBELE BLOG . Imani yangu unaendelea vyema katika hatua ya kutafuta na kuelekea mafanikio.Karibu sana katika makala yetu ya leo ambapo tunaenda kujifunza kitu kipya ambacho kitabadili mwelekeo wa maisha yetu Kama kuna maisha magumu ambayo mtu anaweza kuyachagua ni kuchagua kuwa mtumwa na kuishi maisha…
-
Kipaji Ni Nini?
Habari za leo rafiki na ndugu msomaji wa SONGA MBELE BLOG . Imani yangu unaendelea vyema katika hatua ya kutafuta na kuelekea mafanikio.Karibu sana katika makala yetu ya leo ambapo tunaenda kujifunza kitu kipya ambacho kitabadili mwelekeo wa maisha yetu Kipaji ni kitu cha kipekee ambacho kimo ndani ya mtu. Hiki ni kitu ambacho mtu huzaliwa…
-
Hiki Ndicho Chakula Ambacho Kila Mtu Anahitaji Kukipata kila siku.
Habari za leo rafiki na ndugu msomaji wa SONGA MBELE BLOG karibu sana katika makala ya leo ambapo tunaenda kuangalia chakula ambacho kila mtu anahitaji kupata kila siku. Naamini kitabadilisha maisha yetu na kutupeleka kwenye sehemu ya juu zaidi kimafanikio. Mara nyingi tunapozungumuzia chakula wengi wetu kinachokuja akilini mwetu ni vitu kama wali, ugali, kachumbari…
-
Je, Unachofanya Kinasaidia Nini?
Habari za leo rafiki na ndugu msomaji wa SONGA MBELE BLOG. Imani yangu unaendelea vyema katika hatua kuelekea na kufikia mafaninkio. Karibu sana katika makala yetu ya leo. Ni kawaida sana kwamba watu wamekuwa na mambo mengi sana ya kufanya kwa siku, ukiaangalia mambo wayonayofanya kwa siku yanaonekanakuwa mengi kiasi kwamba muda wao unaonekana umebana sana.…
-
Muda gani Mzuri Wa Kuanzisha Biashara?
Habari za leo rafiki na ndugu msomaji wa SONGA MBELE BLOG. Imani yangu unaendelea vyema katika hatua kuelekea na kufikia mafaninkio. Karibu sana katika makala yetu ya leo. Watu wengi sana wamekuwa wakijiuliza ni muda gani muafaka wanaweza kuanzisha na kukuza biashara?Hili ni swali ambalo linawatatiza wengi na kwa wengine linaonekana ni kikwazo kikubwa sana cha…
-
Mambo Kumi N (10) Muhimu Kuhusu Kiongozi Bora
Uongozi ni dhana , taaluma inayompa mhusikamadaraka na uwezo wa kuwawezesha walewanaongozwa naye kuunganisha nguvu , stadina vipaji vyao na kuvitumia ili kufikia malengoyao. Kuongoza ni kujua lengo la walewanaoongozwa na njia ya kufikia lengo lao.Uongozi ni dhana, taaluma anayopewamhusika katika kuwaongoza wale waliohitajikusimamiwa au walioamuliwa kusimamiwakatika kufanikisha jambo fulani kwa maslahiya wote au ya…
-
Njia Ya Kutumia Kumfanya Mtu Afanye Kile Unachotaka
Habari za leo rafiki na ndugu msomaji wa blog ya SONGA MBELE imani yangu unaendelea vyema katika hatua ya kuelekea mafanikio. Karibu sana katika makala ya leo Njia moja ambayo unaweza ambayo unaweza kuitumia chini ya jua na kufanya mtu afanye kitu chochote. Njia ambayo inaweza kukusaidia kushurikiana na wafanyakazi wako vizuri. Njia ambayo itakufanya kushirikianana wanafunzi…