-
Mambo matatu Ambayo Kampuni Yako Inapaswa Kuwa Nayo
Habari za leo rafiki na ndugu msomaji wa SONGA MBELE BLOG . Imani yangu unaendelea vyema katika hatua ya kutafuta na kuelekea mafanikio.Karibu sana katika makala yetu ya leo ambapo tunaenda kujifunza kitu kipya ambacho kitabadili mwelekeo wa maisha yetu Kampuni yeyote ili iweze kukua na kufikia hatua sana inahitaji walau kuwa na vitengo hivi vitatu ambayo ni…
-
Anza Na Moja
Habari za leo rafiki na ndugu msomaji wa SONGA MBELE BLOG . Imani yangu unaendelea vyema katika hatua ya kutafuta na kuelekea mafanikio.Karibu sana katika makala yetu ya leo ambapo tunaenda kujifunza kitu kipya ambacho kitabadili mwelekeo wa maisha yetu Anza na moja Moja ni kianzio kukubwa sana cha kila kitu. Hatuwezi kuzungumzia mafanikio katika sekta yoyote…
-
Hii Ni Zawadi Nzuri Ambayo Unaweza Kuwapa Watu Msimu Huu Wa Sikukuu
Ni kawaida ya watu wengi sana kutoa zawadi ka wayu wengi tuwapendao msimu kama huu wa krismasi. Hasa kwa tar 26 ambayo ndio sjku maarumu ya kufungua zawadi. Mwaka huu ushajiuliza utampa nini mtu ambaye unampenda. Songa mbele blog imekuletea zawadi nzuri ambayo unaweza kumpa umpendaye na zawadi hii itadumu kwa kipindi chote maisha ya…
-
Huu Ni Utumwa Ambao Kila Mtu Anapaswa Kuuepuka
Habari za leo rafiki na ndugu msomaji wa SONGA MBELE BLOG . Imani yangu unaendelea vyema katika hatua ya kutafuta na kuelekea mafanikio.Karibu sana katika makala yetu ya leo ambapo tunaenda kujifunza kitu kipya ambacho kitabadili mwelekeo wa maisha yetu Kama kuna maisha magumu ambayo mtu anaweza kuyachagua ni kuchagua kuwa mtumwa na kuishi maisha…
-
Kipaji Ni Nini?
Habari za leo rafiki na ndugu msomaji wa SONGA MBELE BLOG . Imani yangu unaendelea vyema katika hatua ya kutafuta na kuelekea mafanikio.Karibu sana katika makala yetu ya leo ambapo tunaenda kujifunza kitu kipya ambacho kitabadili mwelekeo wa maisha yetu Kipaji ni kitu cha kipekee ambacho kimo ndani ya mtu. Hiki ni kitu ambacho mtu huzaliwa…
-
Hiki Ndicho Chakula Ambacho Kila Mtu Anahitaji Kukipata kila siku.
Habari za leo rafiki na ndugu msomaji wa SONGA MBELE BLOG karibu sana katika makala ya leo ambapo tunaenda kuangalia chakula ambacho kila mtu anahitaji kupata kila siku. Naamini kitabadilisha maisha yetu na kutupeleka kwenye sehemu ya juu zaidi kimafanikio. Mara nyingi tunapozungumuzia chakula wengi wetu kinachokuja akilini mwetu ni vitu kama wali, ugali, kachumbari…
-
Je, Unachofanya Kinasaidia Nini?
Habari za leo rafiki na ndugu msomaji wa SONGA MBELE BLOG. Imani yangu unaendelea vyema katika hatua kuelekea na kufikia mafaninkio. Karibu sana katika makala yetu ya leo. Ni kawaida sana kwamba watu wamekuwa na mambo mengi sana ya kufanya kwa siku, ukiaangalia mambo wayonayofanya kwa siku yanaonekanakuwa mengi kiasi kwamba muda wao unaonekana umebana sana.…
-
Muda gani Mzuri Wa Kuanzisha Biashara?
Habari za leo rafiki na ndugu msomaji wa SONGA MBELE BLOG. Imani yangu unaendelea vyema katika hatua kuelekea na kufikia mafaninkio. Karibu sana katika makala yetu ya leo. Watu wengi sana wamekuwa wakijiuliza ni muda gani muafaka wanaweza kuanzisha na kukuza biashara?Hili ni swali ambalo linawatatiza wengi na kwa wengine linaonekana ni kikwazo kikubwa sana cha…
-
Mambo Kumi N (10) Muhimu Kuhusu Kiongozi Bora
Uongozi ni dhana , taaluma inayompa mhusikamadaraka na uwezo wa kuwawezesha walewanaongozwa naye kuunganisha nguvu , stadina vipaji vyao na kuvitumia ili kufikia malengoyao. Kuongoza ni kujua lengo la walewanaoongozwa na njia ya kufikia lengo lao.Uongozi ni dhana, taaluma anayopewamhusika katika kuwaongoza wale waliohitajikusimamiwa au walioamuliwa kusimamiwakatika kufanikisha jambo fulani kwa maslahiya wote au ya…
-
Njia Ya Kutumia Kumfanya Mtu Afanye Kile Unachotaka
Habari za leo rafiki na ndugu msomaji wa blog ya SONGA MBELE imani yangu unaendelea vyema katika hatua ya kuelekea mafanikio. Karibu sana katika makala ya leo Njia moja ambayo unaweza ambayo unaweza kuitumia chini ya jua na kufanya mtu afanye kitu chochote. Njia ambayo inaweza kukusaidia kushurikiana na wafanyakazi wako vizuri. Njia ambayo itakufanya kushirikianana wanafunzi…
-
Je Wewe Ni Kiongozi Au Mfuasi?
Habari za leo rafiki na ndugu msomaji wa blog ya SONGA MBELE imani yangu unaendelea vyema katika hatua ya kuelekea mafanikio. Karibu sana katika makala ya leo.Uongozi ni sanaa ya ushawishi na kuhamasisha watu kufanya zaidi ya kile amabacho wamewahi kufikria katika harakati za kufikia mafanikio Hii siku zote haina chochote cha kufanya na haiendani na hadhi…
-
Kama Rasilimali Zipo Tatizo Ni Nini?
Habari za leo rafiki na ndugu msomaji wa blog ya SONGA MBELE imani yangu unaendelea vyema katika hatua ya kuelekea mafanikio. Karibu sana katika makala ya leo.Habari za kuhusu kuendelea na kukua kwa uchumi wa Tanzania na Afrika kwa ujumla ni jambo ambalo limekuwa linazungumziwa kwa muda mrefu sasa. Wanasiasa, watalii, wanauchumi wasomi na watu wengine wengi…
-
Tabia Ya Wanadamu Ambayo Wewe Unapaswa Kuiepuka
Habari za leo rafiki na ndugu msomaji wa blog ya SONGA MBELE imani yangu unaendelea vyema katika hatua ya kuelekea mafanikio. Karibu sana katika makala ya leo. Kwa kawaida wanadamu huwa tuna mtazamo tofauti kuhusu jambo moja. Wakati katika jambo fulani kuna kundi la watu wanaunaona uzuri katika jambo hilo hilo kuna watu wanauona ubaya. Wakati kuna…
-
Je, hadhi ni nini?
Habari za leo rafiki na ndugu msomaji wa SONGA MBELE BLOG. Imani yangu unaendelea vyema katika hatua kuelekea na kufikia mafaninkio. Karibu sana katika makala yetu ya leo. Hadhi ni nafasi ambayo mtu anayo. Katika makala ya leo tutajikita katika hadhi ya kijamii. Hadhi ya kijamii ni nafasi ambayo mtu anayo katika jamii. Mfano Yakobo an…
-
Je, Kupenda Pesa Ni Chanzo Cha Maovu?
Habari za leo rafiki na ndugu msomaji wa blog ya SONGAMBELE; karibu sana katika Makala yetu ya leo ambapo tunaenda kuona kama kupenda pesa ni chanzo cha maovu. Hapa tutaona vipengele muhimu vinavyotuonesha kuhusu kile tunachoenda kujadiliana. Wiki iliyopita tulijadili kuhusu suala zima la pesa ni nini? Kama hukusoma Makala ya wiki iliyopita unaweza kubonyeza…
-
Jinsi Ya Kuondoka Kwenye Umasikini Wa Kipesa.
Habari za leo rafiki na ndugu msomaji wa SONGA MBELE BLOG . Imani yangu unaendelea vyema katika hatua ya kutafuta na kuelekea mafanikio.Karibu sana katika makala yetu ya leo. Je, nawezaje kuondokana na umaskini wa kipesa? Je nawezaje kuingiza pesa kwenye mzunguko ikawa msaada mkubwa kwangu? Siku zote pesa haionekani kutosha. Kuongezeka kwa mshahara hakuonekani…
-
Pesa ni nini?
Habari za leo rafiki na ndugu msomaji wa SONGA MBELE BLOG. Imani yangu unaendelea vyema katika hatua ya kutafuta na kuelekea mafanikio.Karibu sana katika makala yetu ya leo. Pesa ni kitu ambacho kimekuwa kikizungumuziwa sana. Tofauti na raslimali nyinginezo ambazo unaweza kuzingumuzia (ardhi, muda, maji, madini, nguvu, hewa ) pesa peke yake ndiyo raslimali ambayo…
-
Hili Ni Jambo Linalokuzuia Kufika Unapotaka
Habari za leo rafiki na ndugu msomaji wa SONGA MBELE BLOG . Imani yangu unaendelea vyema katika hatua ya kutafuta na kuelekea mafanikio.Karibu sana katika makala yetu ya leo. Sio jambo la kushangaza sana kusikia mtu anasema “amekwama”. Mtu aliyekwama anapoteza mwelekeo, yupo njia panda na hajui afanye nini? Je wewe umewahi kuwa katika hali…
-
Niambie Rafiki Zako Nikwambie Tabia Zako
Habari za leo rafiki na ndugu msomaji wa SONGA MBELE BLOG. Imani yangu unaendelea vyema katika hatua ya kutafuta na kuelekea mafanikio.Karibu sana katika makala yetu ya leo. Hivi umewahi kufikiri ulimwengu bila marafiki utakuwaje? Bila shaka ungekuwa mbaya sana!! Moja sifa ya binadamu ni kujamiiana na watu na kutengeneza marafiki. Katika suala zima la kupata…
-
Hii Ni Sentensi Iliyonichekesha
Habari za leo rafiki na ndugu msomaji wa SONGA MBELE BLOG. Ni imani yangu unaendelea vyema katika hatua za kuelekea na kufikia mafanikio. Karibu sana kwenye makala yetu ya leo. Jana nilikuwa nasoma kitabu cha FROM VICTIM TO VICTOR ambacho kimeandikwa na mwandishi Joseph Chabalika Mushalika. Kuna mambo mengi sana nimepata kujifunza ila kwa leo ningependa…