-
Swali Moja Ambalo Kila Mwenye Malengo Anapaswa Kujiuliza Kila Wakati
Kuna maswali ya kila aina ambayo unapaswa kujiuliza kila siku unapoamka asubuhi, mchana na jioni haswa linapokuja suala zima la kuelea kwenye kilele cha malengo yako. Soma Zaidi: Maswali Muhimu Unayopaswa Kujiuliza Kila Unapoamka Asubuhi Soma Zaidi: Maswali Muhimu Ya Kujiuliza Kabla Ya Kuingia Kwenye Ujasiliamali Ila kiukweli kuna swali moja muhimu sana ambalo unapaswa…
-
Hii Ndio Sifa Ambayo Kila Kiongozi Anabeba
Mara nyingi sana likiongelewa neno kiongozi basi kinachokuja kwenye akili za watu walio wengi sana ni mtu mwenye mamlaka au madaraka. Kwa maana ya kawaida ambayo inatumiwa na watu wengi sana. Basi kiongozi ni mtu ambaye ana cheo katika shirika, kampuni au taasisi fulani. Lakini je hii ni kweli? Vipi nikisema hata mfagia barabara ni…
-
Kijana Usidanganyike, Wakati Unazidi Kusogea
Kumekuwepo na misemo kadha wa kadha ambayo vijana wamekuwa wakiitumia kujikinga wakati wanafanya jambo fulani.Kwa mfano unakuta kijana anaangalia tamthiliya wakati wote, ukimuuliza kulikoni basi atakwambia maisha yenyewe menyewe magumu wacha nile ujana. Wakati huo huo anasahau kwamba muda anaosema anakula ujana unazidi kusogea na hauji kujirudia kamwe. EBU KIJANA ANZA KUJIFIKIRIA MARA MBILI TATU…
-
Hiki Ni Kitu Ambacho Unapaswa Kukitafuta Unapokutana Na Watu
Habari ya siku hii njema sana rafiki. Hongera kwa uhai wa siku hii nyingine. Kama ishara ya kujipongeza naomba uvute pumzi kwa nguvu mara tano. Sasa tuendelee. Kila siku unakutana na watu wapya. Na pengine unakutana na watu walewale ambao umewazoea. Je, umeshajiuliza ni kitu gani unapaswa kukitafuta kila unapokutana na mtu. Je, ni kitu…
-
Hivi Ndivyo Watu Wanaweza Kufikia Malengo Makubwa Sana
Je, una lengo kubwa sana kiasi kwamba unajiuliza nitalifikiaje? Je, umepabga kulifikia baada ya muda gani? Hongera sana kwa kuwa lengo kubwa kama hili hapa. Ila sasa tunapaswa kuzungumzia juu ya saikolojia ya kuhakikisha wewe unalifikia lengo lako. Sasa ni muda wa kuingia kwa ndani na kuangalia mambo ambayo watu hufanya katika kuhakikisha kwamba wanafikia…
-
Huu Ni Ubishi Ambao Kila Mmoja Anapaswa Kuuonesha
Habari ya siku hii njema sana ya leo rafiki. Hongera sana kwa siku hii njema ya leo rafiki yangu. Hakika leo ni siku ya kipekee sana, basi hakikisha unaitumia vyema ili uzidi kusonga mbele. Moja kati ya watu wanaofikia mafanikio makubwa sana kwenye dunia hii ni watu WABISHI. Wabishi ni watu ambao wanafurahia sana mema…
-
Hii Ni Nafasi Ambayo Unapaswa Kuishikilia Siku Zote
Niliingia katika mfumo wa elimu kama mwanafunzi miaka takribani 16 iliyopita. Kwa mara ya kwanza nikiwa shule ya msingi baada ya kufanya mtihani wa kwanza matokeo yalitolewa. Walianza kusoma matokeo. Kwangu hili lilikuwa jambo geni ambalo nilikuwa sijawahi kukutana nalo maishani. Katika matokeo hayo kulikuwa na nafasi ya kwanza mpaka ya mwisho.Kwa jicho la haraka…
-
UCHAMBUZI WA KITABU: THE ALCHEMIST
Ukisia watu hawasomi vitabu, basi jua kwamba hawasomi kwa sababu ya uzembe. Ukisikia watu wanasoma vitabu jua kwamba wamejitoa kweli kutafuta maarifa na wana kiu ya maarifa. Katika dunia hii unaweza ukaamua kufanya kimoja kati ya hayo hapo. Mosi kujitoa au kuzembea. Na huwezi kufanya yote mawili. Kwa nini nimeanza uchambuzi wa leo kwa namna…
-
365: ANZA KUTUMIA KILE ULICHONACHO
MADE IN AFRICA: IMETENGENEZWA BARANI AFRIKA Mbinu 366 Za Kujing’arisha barani Afrika GODIUS RWEYONGEZA MBINU YA 365: ANZA KUTUMIA KILE ULICHONACHO Mara nyingi watu huwa wanazunguka huku na kule kutafuta fursa. Na sio jambo la ajabu kukuta watu wamekaa tu kwa kisingizio cha kwamba hawana kitu au hawana kazi ya kufanya. Na hapo hapo watu…
-
Lugha Muhimu Ambayo Ni Zaidi Ya Maneno Ya Kawaida
Kwa kawaida mawasikiano kati ya mtu mmoja na mwingine yanapitia katika lugha. Lugha ndio kiunganishi kati ya watu wa mataifa, na makabila mbali mbali. Kwa Tanzania Kiswahili ndio lugha yetu ya taifa ambayo inatuunganisha sana. Kwa sasa hivi ukienda kwenye kila kona ya Tanzania basi utakuta watu wanaongea Kiswahili. Hata kama bado utawakuta watu hao…
-
UCHAMBUZI WA KITABU: Maswali 101 Ya Kumuuliza Mwenza Wako Kabla Ya Ndoa
Kila mtu katika maisha anapenda kuwa na mahusiano mazuri. Anapenda kuolewa au kuoa mke ambaye wataweza kuishi kwa pamoja na kufurahia maisha. Hata hivyo wanandoa walio wengi huwa wanaishia kulia, hii ni kutokana na ukweli kwamba mambo waliyokuwa awanayategemea kukutana nayo kwenye ndoa huwa yanakuwa kinyume kabisa. Pengine mwenza waliyekuwa wanamwamini kwamba huyu ndiye, hugeuka…
-
Kitu Kimoja Ambacho Unapaswa Kukiepuka
Rafiki yangu, hongera sana kwa siku hii njema sana ya leo. Binafsi nafurahi sana maana siku hii ya leo ni siku ya kipekee sana katika maisha yetu na kama kawaida hakikisha unaweka juhudi kubwa sana katika kuhakikisha kwamba unazidi kusonga mbele. Rafiki yangu siku ya leo kwako iwe ya kivitendo zaidi kuliko maneno. Hakikisha kwamba…
-
Vitu Vitatu (03) Vitakavyoongeza Ufanisi Kazini Kwako
Naam, hongera sana kwa siku nyingine ya kuishi hapa duniani. Ukiona umeamka tena ndani ya siku nyingine basi jiulize kitu gani kikubwa leo unaenda kufanya? Ni thamani gani unaenda kuiweka siku hii ya leo?Hayo ni maswali muhimu sana ambayo unapaswa kujiuliza.Wakati kujiuliza maswali kutakufanya uongeze ufanisi mkubwa sana. Lakini bado nakuongezea vitu vingine vitakavyokufanya uongeze…
-
JE, UNAAMKA SAA NGAPI? UNAFANYA NINI BAADA YA KUAMKA? Mbinu Mpya Na Zilizothibitishwa Zitakazokuwezesha Kuamka Asubuhi Na Mapema
Habari ya siku hii njema sana rafiki, hongera sana kwa siku hii ya leo. Maana leo ni siku njema kweli maishani. Hakikisha unaitumia vyema. Moja kati ya swali ambalo nimekuwa naulizwa sana, ni swali la ninapata wapi muda wa kuandika makala mpya kila siku? Hili ni swali ambalo karibia kila mtu ninayekutana naye anapeda kujua…
-
Athari Ya Mtazamo Wako Kwa Vitu Vinavyokutokea
Rafiki yangu, hongera sana kwa siku hii njema ya leo. Ianze siku ya leo ukiwa na mtazamo chanya wa kushinda. Mtazamo wa kufanya makubwa na mtazamo wa kukutana na mambo mazuri. Kwa nini kuwa na mtazamo kama huu? Hili ni swali ambalo kwa haraka haraka unapaswa kuliuza. Kiukweli ni kwamba mtazamo chanya ndio utaleta mwitikio…
-
Hii Ni Kauli Ambayo Unapaswa Kuiepuka Kwenye Maisha Yako
Habari ya siku hii njema sana rafiki yangu. Hongera sana, sana kwa siku hii ya leo. Tangu tunapoamka asubuhi mpaka jioni huwa tuko kwenye maongezi. Na maongezi huwa tunayatumia kama njia ya kuwasiliana na watu wengine. Maongezi haya huwa yanakuja kupitia kauli tunazotoa. Na mara nyingi sana watu huongea na kutoa kauli bila kufikiri. Kitu…
-
TWO IN ONE: Jinsi Ya Kutumia Kanuni Hizi Mbili Kama Kitu Kimoja.
Siku zote mtu kama unapenda kupata kitu kikubwa sana, lazima uwe tayari kuchukua hatua kubwa sana. Labda utakuwa unajiuliza kwa nini leo hii nimeanza na kauli kama hiyo hapo. Ni kweli rafiki yangu, lazima ujiulize. Najua kwamba katika maisha unataka kupiga hatua kubwa sana ya kukutoa hapo mpaka viwango vingine vya juu kabisa. Na ili…
-
Hii Ni Biashara Ambayo Unapaswa Kuepukana Nayo
Habari ya siku hii njema sana rafiki yangu. Hongera sana kwa siku hii njema sana ya leo. Ni mara nyingi sana umekuwa ukiambiwa na watu juu ya biashara ambazo unapaswa kufanya. Ni mara nyingi sana umekuwa ukizisikia fursa muhimu sana ambazo unapaswa kuzikimbilia zikakuinua kutoka hapo ulipo kwenda hatua ya ziada. Lakini ni mara chache…
-
Jambo Moja Litakaloikuza Biashara Yako Bila Kikomo
Hivi ni kitu gani kinawafanya baadhi ya watu kuweza kujingarisha na kukuza biashara zao bila kikomo, wakati huo huo kuna watu wanaanzisha biashara zinakufa? Kwa nini baadhi ya biashara zimekuwepo kwa muda mrefu na zinazidi kuonekana zikikua zaidi zaidi? Hapa lazima kuna siri. Lazima kuna kitu fulani hapa ambacho wamiliki wa biashara hizi kubwa wanakifahamu.…
-
MUDA WA ZIADA; Sehemu Moja Muhimu Ambayo Unaweza Kupata Muda Wa Kufanya Kazi Zako Ambazo Ni Tofauti Na Ajira
Habari ya siku hii ya leo rafiki yangu. Hongera kwa siku hii nyingine nzuri sana kwako rafiki. Leo ni siku njema sana, hivyo hakikisha kwamba unaitumia leo hii kufanya makubwa sana. Mara nyingi sana unapoona watu wanaweza kufanya kazi fulani nyingi nyingi na kuziwezea basi unahisi kwamba hawa watu wana kipaji cha kipekee sana. Mfano…
