-
Sheria Tano (05) Za Mchezo Wa Mwaka Huu
Katika mchezo wa mpira wa miguu wachezaji wanajua kwamba kipenga kikipulizwa basi huwa hakuna kitu kingine bali kucheza mpira. Kipenga huwa sio ishara ya kujiandaa bali huwa ni ishara ya ANZA. Kwa hiyo hakuna mchezaji ambaye huwa anaanza kujiandaa pale kipenga kinapopiulizwa. Bali kipenga huwa kinawakuta wachezaji uwanjani moja kwamoja. Jambo kama hili hapa limejitokeza…
-
Sauti Tano Ambazo Hupaswi Kuzisikiliza Kamwe
Habari, baada ya jana kuzungumzia na kudadafua kwa undani juu ya watu watano ambao unapaswa kuwasikiliza. Leo hii ninaenda kudadafua watu watano ambao kamwe hupaswi kuwasikiliza. Najua unajiuliza, inakuwaje anasema nisiwasikilize baadhi ya watu wakati jana alisisitiza sana juu ya Mimi kusikiliza?Usihofu, ni kweli ni muhimu sana kusikiliza ila kuna sauti zinazoweza kukupoteza kama utaendelea…
-
Hawa Ndio Watu Watano (05) Ambao Unapaswa Kuwasikiliza
Habari ya siku hii ya leo Rafiki na ndugu msomaji wa blogu ya SONGA MBELE. Karibuni sana katika makala haya ya ya siku hii ya leo. Kwa sasa tunaishi katika dunia ambayo ina kila aina ya kelele. Kila mtu anaongea, kila wakati. Kelele kutokea kila kona hazitupi muda wa wa kukaa kidogo na kusikiliza. Tupo…
-
Vitu Vitano (05) Ambavyo Hupaswi Kuridhika Navyo
Habari ya siku hii ya leo rafiki na ndugu msomaji wa makala haya katika blogu yako ya SONGA MBELE. Imani yangu leo ni siku njema sana kwako na unaenda kufanya kazi kwa juhudi nguvu na kujituma. Hakikisha mpaka siku hii ya leo inapofikia mwisho haulali na kitu ambacho ulipaswa kuwa umekifanya leo. Kama kuna jambo…
-
Hizi Ni Aina Tano Za Maamuzi Unazoweza Kufanya Mwaka Huu
Habari ya siku ya leo Rafiki yangu na ndugu msomaji wa makala haya kutoka SONGA MBELE BLOG. Imani yangu leo ni siku jema sana ambapo uaenda kufanya kazi kwa juhudi nguvu na bidii kubwa sana. Hongera sana kwa siku hii ya leo. Kwa kawaida kila siku huwa ni mpya. Huwa ni siku njema zaidi ya…
-
TATIZO SI RASILIMALI ZILIZOPOTEA-108 tatizo hujajua kwamba hauzuiliki
Nenda unapotaka kwenda, fanya unachotaka kufanya unaweza kuwa unachotaka kuwa” zig ziglar. Maisha ni kuchagua, unaweza kuchagua kuwa bingwa au kufeli. Ni juu yako. Ili uweze kufika unapotaka unapaswa kufahamu kwamba kuna vitu vikuu vitatu ambayo unavihitaji. Vitu ambavyo vitaweza kukuinua wewe hapo na kukufikisha unapotaka kwenda. Maana kila mtu huwa anapanga kushinda hata kama…
-
Vitu Vitano Ambavyo Vitakuweka Huru Kiuchumi Ndani Ya 2018
Unaweza kuishi kqa siku ngapi kama mshahara wako utasitishwa leo? Unaweza kwenda hatua ngapi MBELE yako kama biashara yako itaanguka leo?Kitu kimoja na cha muhimu sana ambacho kila mwanadamu anakihitaji hapa duniani ni Uhuru. Wengi sana wamesema kwamba tumezaliwa huru. Sawa na Mimi nakubalina na hilo. Wengine wanasema binadamu wote ni huru na sawa, yaani…
-
TATIZO SI RASILIMALI ZILIZOPOTEA-107 tatizo hutaki kujifunza
Moja kati ya jambo ambalo linaaminiwa sana na watanzania ni ule msemo wa ukitaka kumficha mwafrika kitu, basi kiandike katika kitabu. Binafsi msemo huu ninaenda kinyume chake kila siku. Ila kuna watu wengi sana ambao wanaukumbatia kila mara na kila ninappongea nao basi kisingizio chao ni kwamba waafrika huwa hatusomi vitabu. Waafrika huwa hamsomi vitabu?…
-
Hii Ndio Sifa Unayopaswa Kuiepuka
Hapa duniani kuna watu wenye sifa na mbali mbali. Sifa hizi zinaweza kuwa zinatokana na kazi ambayo mtu anafanya, sifa hii pia inaweza kuwa inatokana na cheo cha mtu. Pengine sifa ya mtu inaweza kuwa inatokana na marafiki ambao ameshikana nao. Lakini ukweli ni kwamba walau kila mtu ana sifa fulani. Mwalimu wangu wa kiswahili…
-
TATIZO SI RASILIMALI ZILIZOPOTEA-97 tatizo ni uvivu
Ewe mvivu mwendee chungu, uzitazame njia zake ili upate kujifunza kwake. Haya ni meneno yaliyoandikwa katika Biblia takatifu yakikutaka wewe kwenda kwa viumbe vidogo kabisa hapa duniani ili upate kujifunza. 1. Viumbe hawa ni wadogo ila wana Fanya kazi kwa mpangilio na kwa akili ya hali ya juu sana. Kumbe udogo wako (uwe wa kiumbo…
-
TATIZO SI RASILIMALI ZILIZOPOTEA-97 tatizo ni uvivu
Ewe mvivu mwendee chungu, uzitazame njia zake ili upate kujifunza kwake. Haya ni meneno yaliyoandikwa katika Biblia takatifu yakikutaka wewe kwenda kwa viumbe vidogo kabisa hapa duniani ili upate kujifunza. 1. Viumbe hawa ni wadogo ila wana Fanya kazi kwa mpangilio na kwa akili ya hali ya juu sana. Kumbe udogo wako (uwe wa kiumbo…
-
Mfahamu Vicenti Thomas Lombardi
Vicenti Thomas Lombardi alizaliwa novemba 11 mwaka 1913 katika nchi ya marekani. Alikuwa mchezaji wa mpira wa miguu na lakini pia alikuwa kocha wa timu za mpira Wa miguu ikiwemo timu ya mpira wa miguu ya GREEN BAY PACKERS. Kiukweli aliiongoza timu hii kupata vikombe kadha wa kadha katika nchi yake. Kuna vitu vingi sana…
-
TATIZO SI RASILIMALI ZILIZOPOTEA -98 tatizo hujajua umuhimu wa nidhamu
Nidhamu katika kazi zetu za kila siku ni jambo la muhimu sana. Nidhamu inaweza kukujenga kama utaitumia vizuri.Ukosefu wa nidhamu unaweza kukubomoa na kukushusha chini.Katika kila kitu ufanyacho kila siku weka nidhamu. Hakikisha unafanya kazi kwa usahihi na kwa ubora hata kama hakuna anayekuangalia. Kama unasubiri umati wa watu ndio ufanye jambo jema sana na…
-
Hili Ni Jambo Linalonifanya Nimshukuru Mungu Kila Siku
Kushukuru ni kuomba tena. Walinena wazee wa zamani. Kila kunapokucha kuna kitu ambacho kinanifanya Mimi Godius Rweyongeza niendelee kumshukuru Mungu.Yapo mengi sana ya kumshukuru Mungu na miongoni mwa hayo namshukuru Mungu kwa kutujalia watanzania waandish. Maandishi ni kumbukumbu zinazodumu kww muda mrefu sana. Hakika kumbukumbu hizi ni njema na zinatia moyo. Zinavutia na ni hazina…
-
TATIZO SI RASILIMALI ZILIZOPOTEA-97 tatizo unaogopa vitu vitakavyokufanya ukue
Kuna vitu vingi sana ambavyo vimekuzunguka na vipo kwa ajili yakukufanya wewe ukue.Watu waliokuzunguka wapo kwa ajili ya kukufanya wewe ukue, japokuwa wanaweza kuwa wanafanya kitu ambacho wewe hupendezwi nacho.Acha waendelee kufanya kile wanachopaswa kufanya. Wakati wewe ukiendelea na shughuli zako. Inawezekana wana kitu ndani yao wanafanya ambacho wanafanya japo hakikupendezi, ila ni kitu bora…
-
Hizi Ni Kurasa Za Vitabu Unazoweza Kuandika Mwaka 2018
Mwishoni mwa mwaka 2018 Rafiki zangu wengi sana walikuwa wakinitumia jumbe mbali mbali za kuuaga mwaka, na kuukaribisha mwaka. Wengine walinitumia jumbe za shukrani, wengine jumbe za kuukaribisha mwaka, wengine jumbe za kuuaga mwaka kutaja ila machache. Jumbe zote hizi kwangu zilikuwa zina maana kubwa sana. Moja kati ya ujumbe ambao ulinifanya nione kwamba maisha…
-
TATIZO SI RASILIMALI ZILIZOPOTEA-96 hujaondoa vitu ambavyo sio wewe
Kuna vitu vingi sana ambavyo unafanya ila sio sehemu ya maisha yako na vinapokupeleka sio kule unapopaswa kwenda. Kama utaendelea kuvibeba 2018 basi jua kwamba utakwama, utakwama, utakwama sana. Yaani kuna hatari ya kupita tu 2018. Je, unavijua vitu ambavyo si wewe? Je, unajua vitu gani ambavyo haupaswi kutembe navyo 2018? Hii hapa ni orodha…
-
TATIZO SI RASILIMALI ZILIZOPOTEA-95 tatizo unasubiri mwaka mpya
! Habari ya siku ya leo rafiki yangu! Leo ni tarehe mosi januari 2018! Hongera sana kwa siku hii njema sana ya leo! Lakini swali langu kwako kitu gani kimebadilika leo!Nikiangalia nje ya nyumba sasa hivi naona mwanga wa jua kama ilivyokuwa jana. Ninaona ndege wakiruka, lakini hata jana walifanya hivyo. Miti naiona ikimeremeta, ingawa…
-
NAAM! KIPENGA KIMEPULIZWA 2023!
Duniani hapa kumeshuhudiwa mitanange mingi sana ya mpira tangu dunia imekuwepo mpaka leo hii unaposoma makala haya. Mitanange hii si ya mipira ya ligi kuu ya vodacom au ligi kuu ya ulaya tu bali pia kuna mitanange ya michezo mingine ya maisha. Kuna mechi ambazo huwa zikichezwa, kwa hakika huwa zinavutia sana. Sio tu kwamba…
-
Mafunzo Matatu Kutoka Kwa Viwavi
Mwanasayansi wa kifaransa John Henry Fabre alifanya jaribio kwa kutumia viwavi. Alichukua viwavi akaweka kwenye sahani, huku kiwavi mmoja akiwa amemgusa kiwavi mwingine. Viwavi hawa wakawa wametengeneza mzunguko kamili. Akachukua chakula pendwa cha viwavi na kukiweka katikati yao, ikiwa ni sentimeta chache sana kutoka pale walipokuwa. Wale viwavi walianza kuzunguka kwa kufuatana, kiwavi mmoja akimfuata…