-
Hiki Ni Kitu Ambacho Huwezi Kukinunua Sokoni
Habari za leo rafiki na ndugu masomaji wa makala za SONGA MBELE BLOG, imani yangu leo ni siku bora sana kwako na tayari umefanya mambo makubwa sana ndani ya siku yako ya leo. Ikiwa ni tarehe 15 June 2017. Siku kama ya leo hatutakuja kukutana nayo tena maishani mwako. Hivyo ni bora sana kujua umuhimu…
-
Maswali na Majibu kuhusu Semina Ya Timiza Malengo Ya Mwaka Ndani Miezi Sita
Habari za leo rafiki yangu na ndugu msomaji wa blogu yako ya songa mbele. Imani yangu, siku yako ni njema sana na unazidi kufanya makubwa sana. Siku moja inaweza kukufanya kuwa mtu mkubwa sana, kama utaitumia kwa umakini mkubwa sana. Baada ya kutangaza uwepo wa semina ambayo itaendeshwa kwa njia ya mtandao mwezi wa saba…
-
Mambo Mawili (02) Ya Kufanya Ili Kuepuka Kuhairisha.
Habari za siku ya leo rafiki yangu na ndugu msomaji wa blog wa songambele, imani yangu siku ya leo ni siku njema sana. Na umeianza tayari kwa kufanya mambo makubwa sana, ambayo yanakutoa katika sehemu ya chini na kukupeleka kileleni.Kumbuka kwamba kesho bora inatengenezwa siku ya leo. Kesho bora haiji mpaka pale utakapokuwa umeitengeneza wewe…
-
Jambo Ambalo Unapaswa Kuliepuka.
Habari za leo Rafiki na ndugu msomaji wa SONGA MBELE BLOG. imani yangu, jumapili ya leo imekaa vyema sana, na umeshaanza kufanya mambo makubwa sana..Ndani ya siku hii ya leo, kati ya yale ambayo umepanga kufanya, hakikisha kwamba unayafanya siku ya leo bila kuacha. Ukiacha kufanya utakuwa umehairisha kazi ambayo ni ya muhimu sana. Ukiacha…
-
Hii Ndio Sifa Ambayo Kila Mtu Anayo
Asubuhi ya siku hii ya leo ni njema sana na ni ya kumshukuru Mungu. Leo ikiwa ni tarehe 9 juni 2017. Huku siku za mwaka huu zikizidi kusonga mbele. Hapo ndipo ninapokumbuka maneno yanayosema kwamba “poteza sekunde moja leo hii, utaililia maisha yako yote”.Lakini hapo hapo nakumbuka msemo mmoja wa China unaosema kwamba “ukipoteza pesa…
-
Jambo Moja Ambalo Litakufanya Uzidi Kung’aa
Habari za leo rafiki na ndugu msomaji wa makala za songa mbele. Imani yangu kuwa umeianza siku yako kwa namna ya tofauti kubwa sana. leo hii ikiwa ni siku npya ambayo haijawahi kutokea katika dunia hii ambayo tunaishi. Leo hii ni siku bora sana ni vizuri sana ukahakikisha kwamba unaitumia vizuri sana siku yako kwa…
-
Huu Ndio MudaMzuri kwako Kwenda Kufanya Kazi
Habari za siku ya leo rafiki yangu na ndugu msomaji wa makala za songa mbele. Imani yangu umeianza siku yako kwa namna ya tofauti kabisa kwa kufanya kitu ambacho kinakutofautisha wewe na watu wengine. Kuna mambo mengi ambayo yanakutofautisha wewe na watu wengine, ila mambo mawili ambayo naamini asubuhi ya leo utakuwa umeanza nayo…
-
Mambo Matatu Unayohitaji Ili Kufikia Ushindi
Habari za leo rafiki yangu na ndugu msomaji wa blogu yako pendwa ya songa mbele karibu sana katika makala yetu ya leo ambapo tunaenda kujifunza kitu kipya amabacho kitatufanya kuwa watu wa ushindi na kuweza kufanya kazi zetu kwa ubora zaidi. Ushindi ni kitu ambacho kila mtu huwa anapenda katika kuhakikisha kwamba anatoka sifuri na…
-
Kitu Kimoja Ambacho Unakihitaji Ili Kuweza Kufaulu Katika Kazi Zako
Habari za asubuhi ya leo rafiki yangu na ndungu msomaji wa makala za blogu ya songa mbele. Imani yangu umeianza siku yako vyema sana na unaenda kufanya kitu cha tofauti. Siku hii ya leo ikiwa ni siku njema sana tunaenda kujifunza kitu kimoja ambacho unakihitaji ili kuweza kufaulu katika kazi zako. Bila shaka umewahi kusikia…
-
Miezi Sita Imepita! Umefanya Nini?
Habari za asubuhi Rafiki yangu na ndugu msomaji wa makala za songa mbele. Imani yangu umeianza siku yako vyema sana huku ukiwa unaenda kuweka juhudi Ku wa sana kuhakikisha kwamba kazi yako ambayo umeianza, au au unatarajia kuianza inaendelea vyema na hatimaye unaikamilisha. Hakikisha kwamba kitu chochote Kile ambacho umekianza unakikamilisha, usije ukaishia njiani hata…
-
SEMINA; TIMIZA MALENGO YA MWAKA NDANI YA MIEZI SITA
Habari za leo rafiki yangu na ndugu msomaji wa makala za SONGA MBELE. imani yangu umeianza siku yako vyema sana kwa namna ya tofauti na unaenda kufanya kitu cha tofauti sana. Karibu sana katika makala ya leo. Ambapo ninaenda kukuelezea juu ya semina ya KUTIMIZA MALENGO NDANI YA MIEZI SITA. Nina mpango wa kuendesha semina…
-
Maswali Mawili Ya Kujiuliza Kabla Ya Kuacha Kufanya Unachofanya
. Habari za leo rafiki yangu na ndugu msomaji wa makala za songambele, imani yangu kwamba siku mpya ya leo umeianza vyema sana ukiwa na nguvu na unakwenda kufanya mambo makubwa sana siku ya leo. Mara nyingi unaweza kuwa unafanya kitu ukagundua kama vile unataka kuacha kufabya Kile ambacho unafanya. Unaweza kuona kama vile kinakuchosha,…
-
Watu Wawili Ambao Huhitaji Kambatana Nao
HAWA NDIO WATU WA KUOGOPA Habari za leo rafiki yangu na ndugu msomaji wa blogu yako ya songa mbele. Imani yangu ni kwamba unaendelea vyema katika kuhakikisha kwamba unaweza kupiga hatua na kutoka hapo ulipo kwenda mpaka kileleni. Kumbuka kwamba wewe ni kiongozi wa nafsi yako na maisha yako hivyo unahitaji kuipangilia siku yako ili…
-
Hili Ni Jambo Moja Ambalo Unahitaji Kulitunza Sana
Habari za leo rafiki yangu na ndugu msomaji wa makala za songambele. Imani yangu unaendelea vyema katika kuhakikisha kwamba unapiga hatua na kutoka hapo ulipo kwenda kileleni. Siku ya leo leo tunaenda kujifunza jambo moja ambalo unahitaji kulitunza sana, na kuhakikisha kwamba liko salama kila siku hasa katika safari yako hii ya kuhakikisha kwamba unatoka…
-
Hatua Tatu Muhimu Zitakazokutoa Sifuri Mpaka Kileleni
. Habari za asubuhi ya ya leo mpendwa msomaji wa makala kutoka katika blogu yako ya songa mbele. Imani yangu umeianza siku yako kwa namna ya tofauti sana huku ukiwa unaenda kufanya kitu kingine kikubwa sana. Kumbuka kwamba hapa duniani hutakuja kukutana siku nyingine ambayo itakuwa kama ya leo. Yaani kiufupi ni kwamba hakuna siku…
-
Hili Ndilo Jambo La Muhimu Sana Ambalo Kila Mtu Anapaswa Kulizingatia
. Habari za asubuhi ya leo rafiki yangu na ndugu msomaji wa makala za songa mbele, imani yangu umeianza siku yako vyema kabisa na unaenda kufanya kitu ambacho ni bora kabisa. Kuthubutu ni jambo moja la msingi sana ambalo unalihitaji ili kuweza kufikia hatua kubwa sana. Kumbe kitu cha kwanza kabisa leo hakikisha kwamba unathubutu…
-
Kosa Ambalo Watu Wengi Hufanya
Habari za leo Rafiki yangu, karibu sana katika makala yetu ya leo ambapo tunaenda kujifunza kitu kipya, kitu ambacho ni cha tofauti sana. Moja kati ya vitu ambavyo huwa nasisitiza kila siku kwa kuwaambia watu wengi sana ni kwamba wewe ni kiongozi. Huu ni ukweli ambao huwa napenda kuuongea kila siku. Wapo watu ambao huwa…
-
Sikati Tamaa, Kila Kosa Nifanyalo Ni Hatua Moja Mbele
*Sikati tamaa kwa sababu kila kosa ambalo Mimi nafanya, ni hatua ya kunipeleka Mimi mbele* alisema Thomas Edison. Asubuhi ya leo maneno haya ya mgunduzi mkubwa sana wa dunia yameninijia katika tafakari yangu. Nikagundua kwamba ili kuuona ukweli ambao THOMAS EDISON ameuongelea unahitaji kuwa umevaa miwani chanya. Au miwani ambayo Fr. Faustine Kamugisha anasema *ni…
-
Sababu Nane Za Kwa Nini Unahitaji Kuwa Na Malengo
Habari za leo Rafiki na ndugu msomaji wa blogu yako ya SONGA MBELE. Karibu sana katika makala ya leo tunapoenda kujifunza kitu kipya ambacho hatujawahi kujifunza. Kwanza kabisa tutambue umuhimu wa leo. Leo ni siku muhimu sana kwenye maisha yako. Ni siku ambayo jana ulisema kwamba kesho nitafanya. Na hatimaye imefika. Hivyo ni wajibu wako…
-
Tumia Muda Na Watu Uwapendao
Habari za leo Rafiki yangu imani yangu umeamka salama na unaendelea vyema sana na kazi zako ambazo umekusudia kufanya siku ya leo. Leo ni siku njema sana, kwetu kwenda kuweka juhudi na kufanya mambo makubwa sana. Kutokana na kwamba unapangilia ratiba yako kila siku asubuhi, najua wazi kwamba sasa hivi huna muda wa kupoteza hata…